Huyu Beki 3 nimfanyeje?

Huyu Beki 3 nimfanyeje?

Lakini kila mmoja hujaribiwa na tamaa yake mwenyewe huku akivutwa na kudanganywa. Halafu ile tamaa ikiisha kuchukua mimba huzaa dhambi, na ile dhambi ikiisha kukomaa huzaa mauti.
YAK. 1:14‭-‬15 SUV

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu,

Niweke wazi tu kwanza ndoa yangu bado ni changa hata mwaka haina. Na ninampenda sana mke wangu.

Sasa bwana, kuna huyu beki 3 wife kamtafuta kutoka huko Tanga.

Mwanzo alikua na heshima sana na nilimlea kama mdogo wangu. Na wife alimleta ili afanye kazi hapa home maana mara nyingi wife anakuwa kazini na anafanya kazi ya shift (nursing)

Sasa kwa miezi hii miwili, huyu house girl ameanza kubadilika mno.

Wasifu wake ni,
-mweupe
-Ana figa ya hatari na nyuma kafungasha
-mrembo mno
-20 yrs.

Nikiwa home na wife hayupo, huyu housegirl huvaa vinguo vifupi vya kunitega na kupita pita mbele yangu. Au wakati mwingine hujifunga kanga moja na kujipitisha mbele yangu, au huniletea chakula huja na kanga moja. Na leo nimerudi akanikimbilia na kunikumbatia bila kuniachia kwa kama sekunde 30 hivi

Yaani kama wote tunavyo, hakuna mkate unaofurukuta mbele ya chai, huyu mtoto huwa anamtoa nyoka pangoni kila nikimwona.

Kumfukuza kazi ndo siwez akati home kwao ndo wanamtegemea.

Nikimwambia wife, anasema namsingizia mtoto wa watu.

Nimfanyeje huyu beki tara?
Imeandikwa usimtamani mke wa jirani yako wala mjakazi wake (mwanzo) kwa hiyo huyo ni wa kwako wewe tu mtafune .
Unatuambia sisi wasifu wake unataka tumtamani tuvunje amri za Mungu.
Mtendee haki ila jiandae maelezo kwa mkeo. Hata beki tatu ni mtu kama mkeo sasa kazi ni kwako vodacom tupo nawe popote ulipo tupo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ww mwanaume acha kujilegeza inamaana kumuona tuu hyo mashine yako inasimama? Utakua na shida sio bure. Halafu eti wife nampendaa sanaa unampenda wakati unamtamani msichana wa kazi?? Si bora ukatamani nje uko. Achana na mawazo na hako kasichana katakuharibia maisha yako kabisa ukabaki na abdalah kichwa wazi wako tuu
Bwana, hakuna mkate ufurukutao mbele ya chai
 
Mrs amemleta huyo ili awe anaku-intertain wakati yeye yuko job.anahofia usije enda kwa asiowajua bora zimwi likujualo halikuli likakwisha.si unaona yeye wala hana wasiwasi amempa hizo instruction
 
Wakuu,

Niweke wazi tu kwanza ndoa yangu bado ni changa hata mwaka haina. Na ninampenda sana mke wangu.

Sasa bwana, kuna huyu beki 3 wife kamtafuta kutoka huko Tanga.

Mwanzo alikua na heshima sana na nilimlea kama mdogo wangu. Na wife alimleta ili afanye kazi hapa home maana mara nyingi wife anakuwa kazini na anafanya kazi ya shift (nursing)

Sasa kwa miezi hii miwili, huyu house girl ameanza kubadilika mno.

Wasifu wake ni,
-mweupe
-Ana figa ya hatari na nyuma kafungasha
-mrembo mno
-20 yrs.

Nikiwa home na wife hayupo, huyu housegirl huvaa vinguo vifupi vya kunitega na kupita pita mbele yangu. Au wakati mwingine hujifunga kanga moja na kujipitisha mbele yangu, au huniletea chakula huja na kanga moja. Na leo nimerudi akanikimbilia na kunikumbatia bila kuniachia kwa kama sekunde 30 hivi

Yaani kama wote tunavyo, hakuna mkate unaofurukuta mbele ya chai, huyu mtoto huwa anamtoa nyoka pangoni kila nikimwona.

Kumfukuza kazi ndo siwez akati home kwao ndo wanamtegemea.

Nikimwambia wife, anasema namsingizia mtoto wa watu.

Nimfanyeje huyu beki tara?
Story za kutunga hadithi za puka pakawa
Tz ya viwanda tutafika kweli kwa vijana kama wewe kifikiria hadithi za mbuchi tuuu fanyakazi jamaa yangu acha kuwaza ngono halafu unakuja kutungu uozo humu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mmhh mtoa mada act kama baba kwenye nyumba yako bwanaa
 
Wakuu,

Niweke wazi tu kwanza ndoa yangu bado ni changa hata mwaka haina. Na ninampenda sana mke wangu.

Sasa bwana, kuna huyu beki 3 wife kamtafuta kutoka huko Tanga.

Mwanzo alikua na heshima sana na nilimlea kama mdogo wangu. Na wife alimleta ili afanye kazi hapa home maana mara nyingi wife anakuwa kazini na anafanya kazi ya shift (nursing)

Sasa kwa miezi hii miwili, huyu house girl ameanza kubadilika mno.

Wasifu wake ni,
-mweupe
-Ana figa ya hatari na nyuma kafungasha
-mrembo mno
-20 yrs.

Nikiwa home na wife hayupo, huyu housegirl huvaa vinguo vifupi vya kunitega na kupita pita mbele yangu. Au wakati mwingine hujifunga kanga moja na kujipitisha mbele yangu, au huniletea chakula huja na kanga moja. Na leo nimerudi akanikimbilia na kunikumbatia bila kuniachia kwa kama sekunde 30 hivi

Yaani kama wote tunavyo, hakuna mkate unaofurukuta mbele ya chai, huyu mtoto huwa anamtoa nyoka pangoni kila nikimwona.

Kumfukuza kazi ndo siwez akati home kwao ndo wanamtegemea.

Nikimwambia wife, anasema namsingizia mtoto wa watu.

Nimfanyeje huyu beki tara?
Kwa sauti ya makongoro nyerere.."sikaja mwenyewe kwenye cha ndimu..mpige dobo ukimaliza mvishe na kanzuu..si ametaka mwenyewe!"..mpige kachabali mkuu hakuna nyasi mbele ya ng'ombe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu kula ni halali yako.changanyia na mnafu kidogo pilipili kwa mbali alafu unippe mrejesho.mwenzako hapa nilipo nipo uhamishoni kwa kosa la kula beki tatu na wana..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mleta mada ana pacha wake kwani hii story ilishaletwa humu nadhani mwaka juzi same same
 
Back
Top Bottom