FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 92,883
- 109,211
Unaona alifanya makosa alivyokulea wewe?Ndo maana nasema ivi uzima upo nguvu zipo.mtoto wangu halelewi na Bibi yake.
Unaona alifanya makosa alivyokulea wewe?Ndo maana nasema ivi uzima upo nguvu zipo.mtoto wangu halelewi na Bibi yake.
Unaona alifanya makosa alivyokulea wewe?
Hilo nalo nenoWatoto wanavyosumbua kula yani unaweza jitoa ufahamu wakati mwingine
Hahaha
Mi ndo naelewa mama yng ni mtu wa namna gani ndo Mana nasema hivyo.anaeza beba mjukuu wa miaka 6 mgongoni.........uko sikunifanyia mtoto zwazwa.by the way nmelelewa na mama,mabibi nimewafaham utu uzmaniUnaona alifanya makosa alivyokulea wewe?
Mi ndo naelewa mama yng ni mtu wa namna gani ndo Mana nasema hivyo.anaeza beba mjukuu wa miaka 6 mgongoni.........uko sikunifanyia mtoto zwazwa.by the way nmelelewa na mama,mabibi nimewafaham utu uzmani
Hili jina sijui lina nini....mara nyingi vinakuwa na kiburi na vinadekezwa sanaHuyo dogo atakuwa "Junior"
Hili jina sijui lina nini....mara nyingi vinakuwa na kiburi na vinadekezwa sana
Halaf hawakui kila siku wanajiona watoto
get well soon tl
OMG !! Yaani unaukatili au hutaki wawe wanagambo..? Why ucharaze..
Kwa bibi ni raha sana. Mimi nililelewa na bibi mzaa mama yangu kwa muda mfupi na tulielewana sana. Kiasi kwamba kama kuna kitu nyumbani ni lazima ni lazimishe bibi apelekewe, nikiona sipati basi ninatafuta namna ya kupata hata kidogo nimpelekee bibi yangu.
Mmmmmmh yuko na Henry auBibi Tina
Yuko na DeeMmmmmmh yuko na Henry au