Taarifa sio ya Leo Karma is bitch,ukikojolea Iko Siku utakojolewa
Hii dunia wote tunapita tu, tutendeane wema ili tuishi vema na kurudi salama tulikotokaJamaa alishazoea kutumia binduki
Nina mashaka na shughuli ya Kitenge huko kwenye media inawezekana ni state agent
ILa magu aliwaingiza choo cha mashoga hawa watu..dahKweli dunia ni uwanja wa fujo.
Ukiwa mbabe sana hapa duniani basi ipo siku utakutana na wababe wenzako na watakukalisha.
Nasikia huyu mwamba aliyemtolea Nape bunduki naye leo hii ananyea ndoa au kubebeshwa mtondoo pale ngome.
Wanadai alihusika na ukatili wa kudhulumu uhai wa mjasiliamali wa huko kusini wilayani Nachingwea.
Hakika dunia ni uwanja wa fujo na mwenye nguvu mwache apite. View attachment 2683156
Ameonyesha ujasiri sio wa kawaida,kushindana na mwenye silaha ni too risk.Nina mashaka na shughuli ya Kitenge huko kwenye media inawezekana ni state agent
Mkuu km una kitobooooo jua muda wwte unaweza cheuliwa( sikuombei ila ukimfanyia mwenzako undezi yatakukuta)kwahiyo vidume wote nasisi tutakuja kukojolewa?
Ni muda wao umefika mkuu cha msingi na sisi tuzidishe juhudi ipo siku mambo yetu yatakuwa kama haondio maana alikuwa anamwanbia jamaa "utaharibu wewe" jamaa ikabidi amcheki akagundua huyu atakuwa mwenzetu.
Kitenge, Eng Hersi, Manara, Mwana FA nk wanaenjoy hela za walipa kodi tu.
Wewe umeskia, mimi nazungumza ninachokijua!Wacha ubishi wa vijiwe vya kahawa ndugu unachoambiwa ni kweli kwa 100%