Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 70,485
- 167,311
Acha uboya mkuu mtu humble hawezi kuwa mwizi.ndio. wewe ni mshamba kweli. hujakosea.
Ni matumizi mabaya ya neno humble/unyenyekevu badala yake huo ni unafiki
Acha uboya mkuu mtu humble hawezi kuwa mwizi.ndio. wewe ni mshamba kweli. hujakosea.
Hatari sana. Chawa wanacheza na bit?Kila zama na Kitabu chake 😄😄
Hata Mbowe alifuturisha!
😂😂😂 DJ kauzima muzikiHatari sana. Chawa wanacheza na bit?
Mwamba kasoma na kila mtu.Hivi Mwendazake hukusoma nae?
Ndo huwa mnaishia hivyo hivyo wenzenu tunagonga bingo....Classmate huyo
Hadi maza anione huku niliko...mmmh!!
Membe classmate wako na mke wa Riz1 pia ?Classmate huyo
Wasukuma na vyeupe hamcheleweshi😆Mbona ana sura Kama mnyarwanda, au msomali sijaelewa labda ana uarabu koko
Jamaa ujinga wake umekolea sijui kausomea nchi gani😂😂Membe classmate wako na mke wa Riz1 pia ?
Basi hata Wema Sepede ni Classmate wako
AtulieJamaa ujinga wake umekolea sijui kausomea nchi gani[emoji23][emoji23]
Hawezi ni mapepe sana sijawahi ona😂😂😂Atulie
tumeshakubaliana wewe ni mshamba, hayo mengine ya nini sasa?Acha uboya mkuu mtu humble hawezi kuwa mwizi.
Ni matumizi mabaya ya neno humble/unyenyekevu badala yake huo ni unafiki
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimeshangaa mno, uwiiiiih
Jf kiboko ,sasa group letu la wanaume wa viongonzi wanawake ni lipi ? Kama halipo basi lianzishwe na napendekeza kuitwa TANZANITE mbwai mbwaiNdie amekuwa mtu wa kwanza kutoa salamu kwa Membe kwa niaba ya kundi la wake wa viongozi linaitwa Millenium?
Je ni mke wa Kikwete kama ni mke wa Kikwete Kikwete ana wake wangapi?
Je ni mwanae Kikwete kama ni mwanae kwanini awe kwenye group la wake wa viongozi?
Je ni mke wa kiongozi ngani haswa hadi awe kwenye group la wake wa viongozi?
Kwa anayejua hili atujuze
USSR
Ni Mke wa Ridhiwan KikweteNdie amekuwa mtu wa kwanza kutoa salamu kwa Membe kwa niaba ya kundi la wake wa viongozi linaitwa Millenium?
Je ni mke wa Kikwete kama ni mke wa Kikwete Kikwete ana wake wangapi?
Je ni mwanae Kikwete kama ni mwanae kwanini awe kwenye group la wake wa viongozi?
Je ni mke wa kiongozi ngani haswa hadi awe kwenye group la wake wa viongozi?
Kwa anayejua hili atujuze
USSR
Mulianzishe hilo group, mweka hazina awe mume wa waziri GwajimaJf kiboko ,sasa group letu la wanaume wa viongonzi wanawake ni lipi ? Kama halipo basi lianzishwe na napendekeza kuitwa TANZANITE
Kwa nini ghafla mme wa waziri Gwajima ndo akawe mweka hazina?Mulianzishe hilo group, mweka hazina awe mume wa waziri Gwajima
kikwete ni mwislamu, anaruhusiwa kuwa na wake wanne na si lazima awatangaze woteNdie amekuwa mtu wa kwanza kutoa salamu kwa Membe kwa niaba ya kundi la wake wa viongozi linaitwa Millenium?
Je ni mke wa Kikwete kama ni mke wa Kikwete Kikwete ana wake wangapi?
Je ni mwanae Kikwete kama ni mwanae kwanini awe kwenye group la wake wa viongozi?
Je ni mke wa kiongozi ngani haswa hadi awe kwenye group la wake wa viongozi?
Kwa anayejua hili atujuze
USSR