Per Diem
JF-Expert Member
- Mar 28, 2018
- 2,189
- 3,739
Hiki chama ni useless. Waziri akitenguliwa kwa hiyo mke nae analeft group?Huyu ni mke wa Ridhiwani,kaongea kwa niaba ya kikundi cha wake wa viongozi. Wake wa mawaziri na manaibu waziri wana chama chao kinaitwa Millenium group