jogoo wa maajabu
JF-Expert Member
- Mar 4, 2018
- 782
- 1,627
jamaa unahitaji kujua vikundi vya wake za watuHiko kikundi waziri akitenguliwa na mkewe anajitoa?
jamaa unahitaji kujua vikundi vya wake za watuHiko kikundi waziri akitenguliwa na mkewe anajitoa?
Uwaziri ni kazi ya muda mfupi tu,lakini vikundi hivyo mara nyingi huwa na malengo ya kudumu,nawaza wanafanyaje kazi ikiwa hawana uhakika wa kuwepo kesho yao? Imagine mwenyekiti wa kikundi mume wake atumbuliwe uwaziri..jamaa unahitaji kujua vikundi vya wake za watu
Bila shaka na wee Ni MMOJA wa mke wa kigogo ccmHuyu ni mke wa Ridhiwani,kaongea kwa niaba ya kikundi cha wake wa viongozi. Wake wa mawaziri na manaibu waziri wana chama chao kinaitwa Millenium group
Mimi ni mtoto wa CCM, nimeishi sana pale uzunguni Dodoma. Tuishie hapo.Bila shaka na wee Ni MMOJA wa mke wa kigogo ccm
Una hbr nyingi Sana za ndani za ccm
[emoji1783] [emoji3] [emoji23]Mkuu ulisomea ujinga nchi gani?
Maana ujinga wako haupatikani Afrika mashariki na kati[emoji23][emoji23][emoji23]
Hapana, anabakia hata kama mume ameondolewa.Mbona kipo miaka mingi sana tangu enzi ya akina Mama Yona, wao ndiyo walioanzisha.
Nadhani mume akiondolewa na mke huwa anajiondoa kivyake vyake
Uanachama unaendelea.
Anabakia. Mke wa Membe alikuwa mwanachama.Hiki chama ni useless. Waziri akitenguliwa kwa hiyo mke nae analeft group?
Oooh!! Okay.Uanachama unaendelea.
Hizo picha mbili tofauti za wanawake Wawili tofauti wajameni !!Mbona hapa amejichubua sana mpk amekuwa mbaya ukilinganisha na alivyokuwa mwanzo??
View attachment 2621389
Ndege wafananao !Hivi kwanini Rais akiwa Muislam viongozi wengi wanajitokeza wamevaa Baibui? Niliona hii wakati wa JK na sasa naiona.
Nimeona hadi Doroth Gwajima anafunga kilemba...Batilda yeye kaongeza ukubwa wa Kilemba. Kwa nini huwa inakuwa hivi? Huwa hii hali haionekana rais akiwa Mktistu
johnthebaptist
Hapo sasa ! Ujue ndege wafananao huruka pamoja !
Na muonekano wa mdomo huwa unasadifu kule kunakoTumdomo twake tuduchuuu
Huyo ni mke wa rizwani ni wakili arafaNdie amekuwa mtu wa kwanza kutoa salamu kwa Membe kwa niaba ya kundi la wake wa viongozi linaitwa Millenium?
Je ni mke wa Kikwete kama ni mke wa Kikwete Kikwete ana wake wangapi?
Je ni mwanae Kikwete kama ni mwanae kwanini awe kwenye group la wake wa viongozi?
Je ni mke wa kiongozi ngani haswa hadi awe kwenye group la wake wa viongozi?
Kwa anayejua hili atujuze
USSR
Umri ni namba tu.Mbona hapa amejichubua sana mpk amekuwa mbaya ukilinganisha na alivyokuwa mwanzo??
View attachment 2621389
Na unaweza kuta wana mkopo mkubwa (kama sio zawadi) kutoka ile 10% ya halmashari na wala wasirudishe. Hii inapatikana Tanzania tu.Dunia ipo kasi hatari. Eti umoja wa wake wa viongozi, sijui na wao wana Vicoba.