Mwaikibaki
JF-Expert Member
- Mar 19, 2015
- 3,047
- 3,784
Hili kundi lilikuwepo enzi za Ankali Magu? Kweli kila zama na kitabu chake!
Kuna mti aliuliza kwanini msiba wa Membe umepewa hadh ya Msiba wa Kitaifa?
Nadhani ameanza kupata majibu sasa
Kuna mti aliuliza kwanini msiba wa Membe umepewa hadh ya Msiba wa Kitaifa?
Nadhani ameanza kupata majibu sasa
Achana na umbea umbea utajua watu wangapi?
Hivi Mwendazake hukusoma nae?Classmate huyo
Ndie amekuwa mtu wa kwanza kutoa salamu kwa Membe kwa niaba ya kundi la wake wa viongozi linaitwa Millenium?
Je ni mke wa Kikwete kama ni mke wa Kikwete Kikwete ana wake wangapi?
Je ni mwanae Kikwete kama ni mwanae kwanini awe kwenye group la wake wa viongozi?
Je ni mke wa kiongozi ngani haswa hadi awe kwenye group la wake wa viongozi?
Kwa anayejua hili atujuze
USSR
Ko ni mke wa Ridhiwani???Kwani Ridhiwani pia si nikiongizi Mkuu!!Au yeye Sio Kikwete?
Duuuh makubwaaaa mbna, kila sehemu wanajiweka wao washika kibubu, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huyo ndo mweka hazina wa chama cha Millennium
Na mie nataka kujuaHiko kikundi waziri akitenguliwa na mkewe anajitoa?
Nimecheka hadi nikabanja..dah..Classmate huyo
HapanNa mie nataka kujua
Hapana bado anakuepo, mke wa kitwanga ni member had sasaNa mie nataka kujua
Kama twa hamisa🥰Tumdomo twake tuduchuuu
Hii mbona ni hoja dhaifu kwani kuna madhara gani akiwa kwenye hilo group?ukishajua itakusaidia nini?Taifa linawahitaji hili kwenye mambo ya msingi.Ndie amekuwa mtu wa kwanza kutoa salamu kwa Membe kwa niaba ya kundi la wake wa viongozi linaitwa Millenium?
Je ni mke wa Kikwete kama ni mke wa Kikwete Kikwete ana wake wangapi?
Je ni mwanae Kikwete kama ni mwanae kwanini awe kwenye group la wake wa viongozi?
Je ni mke wa kiongozi ngani haswa hadi awe kwenye group la wake wa viongozi?
Kwa anayejua hili atujuze
USSR
Kila zama na Kitabu chake 😄😄Hivi kwanini Rais akiwa Muislam viongozi wengi wanajitokeza wamevaa Baibui? Niliona hii wakati wa JK na sasa naiona.
Nimeona hadi Doroth Gwajima anafunga kilemba...Batilda yeye kaongeza ukubwa wa Kilemba. Kwa nini huwa inakuwa hivi? Huwa hii hali haionekana rais akiwa Mktistu
johnthebaptist
Mbona kipo miaka mingi sana tangu enzi ya akina Mama Yona, wao ndiyo walioanzisha.Hiko kikundi waziri akitenguliwa na mkewe anajitoa?