Herbalist Dr MziziMkavu
Platinum Member
- Feb 3, 2009
- 43,077
- 34,848
JE NDOA ATAIWEZA
ATAACHA BONGO MOVIE KUSHIKWA SHIKWA NA WAKINA RAY ,JB.NA HEMED
NA NGUO FUPI JE?
![]()
JE NDOA ATAIWEZA
ATAACHA BONGO MOVIE KUSHIKWA SHIKWA NA WAKINA RAY ,JB.NA HEMED
NA NGUO FUPI JE?
soma la shigongo la ijumaa! keshafumaniwa siku nyingiiiiiiiiii ndoa haina hata mwezi, na mwanaume anaitwa joff mkazi wa mikocheni! yaani once a hooker always a hooker!
soma la shigongo la ijumaa! keshafumaniwa siku nyingiiiiiiiiii ndoa haina hata mwezi, na mwanaume anaitwa joff mkazi wa mikocheni! yaani once a hooker always a hooker!
wanafunzi wa udsm hasa wa mwaka wa kwanza , boom limeanza kuwaishia kwa sababu mbalimbali. kwa utafiti wavulana hutumia boom kuwanunulia madem zao chips, vyoda, mayai na kuwatoa za matumizi kama: shopping, saloon, voucher, modem n.k. kiukweli madem wa chuo ni zaidi ya memkwa, wanaconvicing power kubwa kwa kile wanachotaka. pia baadhi ya madem baada ya kujua mjini shule tunakula nao rice beans (RB) kama kawa . baadhi yao wanasema "kumbe RB ni tamu hivi" acha zenu au ndo kuishiwa tu. tubadilike
Kumbe jina lake ni GWANTWA Mnyakyusa.