Huyu ananitania au ananipima

mkubwa,
uzuri mshiki ananielewa kuwa mimi ni mtu WA MATUKIO!nilimuadvice vizuri sana kwamba akitaka nitulie,atoe vitu!.........

nashukuru mungu nimetulia!

Hahaha! Hiyo nimeikopi na kuipesti kwa wallet! Badaye atapelekewa Matron, Halima na Eliza kwa msisitizo zaidi!
 
nakuondolea nuksi,NAKUGONGEA SENKSI YA KWANZA!hii ni historia kwako,kwa maana hakuna mtu mwingine atakaekugonga SENKSI YA KWANZA

Amekula ya pili toka kwa primiam mwingine. Ni heshima kubwa sana hiyo! Hebu mkumbushe fidel atoe fotokopi ya yale mahubiri ya mtumishi wa Mungu wa Jana ayaweke hapa! Kula bia saaaana, Mega saaaana nk nk nk nk! LOL!
 
Kama una uhakika kuwa ni vyako kwa nini unaisubiri kwa hamu kubwa tarehe 13/2/2009? ili iweje? si ukae tu hivyohivyo.

Pale ni kuutangazia umma rasmi kwamba mtu akimsogelea mshiki kwa karibu, ze pillar lina mamlaka ya kumtwanga rungu kichwani na kwenye baioloji yake! Shenzy taipu zao watakaomsogelea mshiki 13/04. Mchango ushatoa lakini?
 
Kama una uhakika kuwa ni vyako kwa nini unaisubiri kwa hamu kubwa tarehe 13/2/2009? ili iweje? si ukae tu hivyohivyo.
mimi sioi ili nijilie vyangu!kwa mtizamo wangu ndoa kwangu ina maana kubwa zaidi ya hilo!nimeiangalia familia yangu after ten years,nimewaangalia watoto wangu after ten years,nimeangalia MAADILI YA KIKRISTO YANATAKA TUISHI VIPI!...otherwise ''vyangu'' nilikuwa najilia since 2004:D
 
Pale ni kuutangazia umma rasmi kwamba mtu akimsogelea mshiki kwa karibu, ze pillar lina mamlaka ya kumtwanga rungu kichwani na kwenye baioloji yake! Shenzy taipu zao watakaomsogelea mshiki 13/04. Mchango ushatoa lakini?
hapo hapo.kama ni vyako mpaka uutangazie uma? mbona vingine havitangazwi.Usimdanganye mwenzio.tena siku hiyo ni lazima kwenda kwenye kitubio kwa padre kuungama.Msitake kuhalalisha vitu ambavyo havistahili.semeni mioyo yetu ni migumu tu ndio maana tunalianzisha kabla.
 
hapo hapo.kama ni vyako mpaka uutangazie uma? mbona vingine havitangazwi.Usimdanganye mwenzio.tena siku hiyo ni lazima kwenda kwenye kitubio kwa padre kuungama.Msitake kuhalalisha vitu ambavyo havistahili.semeni mioyo yetu ni migumu tu ndio maana tunalianzisha kabla.
sasa wewe zayonidota,
unataka nisilianzishe mapema ili iweje?nikiingia nae ndani jumla jumla halafu nikakuta INSHU HAIPO????!yani unakuta pale maeneo papo FLATTTTTT hamna kitu kabisa,wala dalili kwamba palikuwa na kitu hazipo....!

nitakufa presha bwana mi lazima nilianzishe!
 
Nina bf wangu ambaye tuko kwenye uhusiano kwa muda sasa, all was very well at the beginning lakini lately naona mabadiliko ambayo yanapelekea mie kupata wasi wasi kwamba he is not serious anymore, ukimuliza what is wrong majibu yanakuwa am very busy, kazi nyingi, shuguli za hapa na pale, inapelekea sometimes inapita mwezi hatuonani na anadai ni vijimambo 2 vinatufanya tuwe apart, mind you haya yote hayakuwepo mwanzoni, basi hivi majuzi nikamtolea uvivu nikamwambia just tell me if its over ili ni move on with my life, lakini akaniambia he still loves me, and am imagining things, hivi hii inawezekana kweli ukaribu ni zero, caring ni sifuri. Naombeni msaada wa ushauri wanajf maana naona things are getting worst.

Ndugu yangu, its simple and clear... you need to confront the guy or jiandae vyema kumaliza hiyo elimu ya mapenzi na huyo BF
 
mimi sioi ili nijilie vyangu!kwa mtizamo wangu ndoa kwangu ina maana kubwa zaidi ya hilo!nimeiangalia familia yangu after ten years,nimewaangalia watoto wangu after ten years,nimeangalia MAADILI YA KIKRISTO YANATAKA TUISHI VIPI!...otherwise ''vyangu'' nilikuwa najilia since 2004:D
Hongera,naona kuna kanisa JIPYA linaanzishwa,Sishangai lakini.Ni kawaida yetu Kukiri kwetu na kutenda kwetu huwa ni tofauti.
Mara nyingi huwa tukisema ndio = siyo and vice versa is true.
Naona niishie hapa sababu hakuna mwisho wa hili.
 
Hongera,naona kuna kanisa JIPYA linaanzishwa,Sishangai lakini.Ni kawaida yetu Kukiri kwetu na kutenda kwetu huwa ni tofauti.
Mara nyingi huwa tukisema ndio = siyo and vice versa is true.
Naona niishie hapa sababu hakuna mwisho wa hili.

Mwisho upo! Kwanza tunahitaji mchango wetu wa 13/04 kabla hatujaendelea.
 
Hongera,naona kuna kanisa JIPYA linaanzishwa,Sishangai lakini.Ni kawaida yetu Kukiri kwetu na kutenda kwetu huwa ni tofauti.
Mara nyingi huwa tukisema ndio = siyo and vice versa is true.
Naona niishie hapa sababu hakuna mwisho wa hili.

ha ha ha ha!
imani yangu hainiongozi kuanzisha kanisa kwa sasa!inaniongoza kumuishi kristu.

enewei tuyaache bwana!...naenda kurusha thread nzuri sana for you people
 
Hahaha! Mpwa bana! Acha nicheke kidogo! Heb niache nikompee hiyo red na blue nione kama kuna kinachoendelea hapo! Stuka Mpwa!!! Wanaume ndio zetu, tukikuchoka tunahamishia ratiba kwenye kuwa busy! Don wore sisy, kuna vijana serious kibao wamejaa! Du yu knoo woram seyying? Ushamwagwa dada! Stuka!

Iribini you have said it very well.....Lilyflower sweetheart I can feel wat you are talking about...men, men, men!!!! ngumu kuwaelewa viumbe hawa!!!
 
Iribini you have said it very well.....Lilyflower sweetheart I can feel wat you are talking about...men, men, men!!!! ngumu kuwaelewa viumbe hawa!!!

Sasa ikawaje hujagonga kale kabatani ketu? btw ulikuwa wapi mbona huagi wakubwa zako?
 
Sasa ikawaje hujagonga kale kabatani ketu? btw ulikuwa wapi mbona huagi wakubwa zako?

kurasa nyingi za kusoma hata kabatani sikaoni tena!!! nilikua moshi xmas na msiba we acaha tu!!!! usinikumbushe machungu mie!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom