Kweli kabisa ni mwendo wa kubana matumiziAisee. Labda atakulia humo, nakumbuka zamani tulikua tunanunuliwa nguo kubwa kuliko miili yetu ili tukulie humo.
View attachment 528836
Aisee. Labda atakulia humo, nakumbuka zamani tulikua tunanunuliwa nguo kubwa kuliko miili yetu ili tukulie humo.
View attachment 528836
Ila sio vizuri mkuu ameamua kutuchekesha liveHuu uchochezi kabisa!
Hapa namwachia FF atakujibukwani uislamu ni ndevu?
Kama mfalme wa muvi za koreaaa.Huyu mbunifu ambaye amemshonea Raisi John Pombe Magufuli hii kanzu anastahili pongezi kubwa sana!
View attachment 528755