Dela halina pindo mikononi kanzu inaloMkuu hapo sijakuelewa mkuu
una uhakika na unachokinena?Huyu mbunifu ambaye amemshonea Raisi John Pombe Magufuli hii kanzu anastahili pongezi kubwa sana!
View attachment 528755
hiyo imenunuliwa mtaa wa mosgueNdo matatizo ya kushtukiza, huenda wasaidizi wake walikua hawajui kama atahitaji kanzu kwahiyo alipowashtukiza kwamba anataka kuvaa ikabidi washone fasta wampime kwa kumkadiria kwa mbali tu.
Watu wa lumumba akili zenu kama kifurushi cha jaza ujazweHivi wabaongo wenzangu, hata hili la kanzu ni la kumshambulia rais wetu mwema? Kama inawauma kutoalikwa kwenda kula pilau basi kajiungeni na wenzetu wa Kibiti muone mtakavyo changamkiwa.
Ustadhi makufuli
Kafanana na AladeenHuyu mbunifu ambaye amemshonea Raisi John Pombe Magufuli hii kanzu anastahili pongezi kubwa sana!
View attachment 528755