Njaa kali30
Member
- Jul 18, 2021
- 47
- 28
Huyu afisa elimu ana mapungufu mengi nashangaaa kwanini Serikali inamucha mpaka leo amekuwa kero kubwa kwa watumishi anaowangoza mpaka basi.Mara kwanza alikuwa afisa elimu yule aliehamishiwa tabora naye alikuwa msumbufu balaaa.
Lakini huyu alieachwa ana mapungufu balaaa na sijui hivi vyeo uwa vinagawiwa kwa kuangalia nini?!
Huyu si mwingine bali mtata mmoja anaitwa Bhange kama jina lake lilivyo ni bhange kweli. Nimtata katika mambo yafuatayo.
1. Kukataaa kusaini barua za kuhama waalimu hata kama mwalimu amekuwa akipata wa kubadilishana nae yeye hugoma kwa sababu zake.
Moja akidai huyo unaetaka kubadilisha aje ila wewe hakuna kuhama wa kuondoka nimeshuhudia zaidi ya waaalimu 10 wakikataliwa kuhama na huyu afisa huku wale wengine wa upande wa pili wakija na yeye kuzuia waaalimu wengine wasiende kule wanakotakiwa kuenda. Ina Maaana ameanzisha Tamisemi yake ndani ya wilaya na amejipa mamlaka ya waalimu hakuna kuondoka wala kuhama.
2. Pili kuamisha waalimu kwa nguvu katika shule zinazoanzishwa bila kuwalipa stahiki zao.Amekuwa kazi yake ni kutoa vitisho tuuu kwa waalimu mpaka basi usipoenda kule anakotaka uende atakufuta kazi. Tamisemi na Wizara ya elimu tembeleeni hii wilaya Muone huyu mtu alivyojigeuza mungu mtu katika katika ofisi ya Umma. Yeye rafiki zake ni wafanyakazi wanawake.
3. Kuwa na upendeleo mkubwa kwa watu wanaotoka maeneo ya njombe na Iringa.Amekuwana na upendeleo wa wazi wazi kwa wafanyakazi wanaotoka maeneo hayo. Nitawataja watu ambao snawapebdekea ikibidi.
4. Kufokea waalimu kama watoto wake na kutoa vitisho ambavyo katika hali yeyote umuogopesha mwalimu mjinga. Nilishuhudia mwalimu akifokewa na na kuambiwa hutopata kazi yeyote ambayo ni maalum. Mimi mwenyewe iliwahi kutokea varangati kubwa na yeye baada ya kung'ang'ani nimpe fedha kwa ajili ya kitu fulani. Mwisho kwa heshima na taadhima naomba tamisemi na wizara ya elimu ifike wilayani hapa na iulize baadhi ya watumishi ijue ukweli nabichukue hatua juuu ya mtu ambae ni Untochable
Lakini huyu alieachwa ana mapungufu balaaa na sijui hivi vyeo uwa vinagawiwa kwa kuangalia nini?!
Huyu si mwingine bali mtata mmoja anaitwa Bhange kama jina lake lilivyo ni bhange kweli. Nimtata katika mambo yafuatayo.
1. Kukataaa kusaini barua za kuhama waalimu hata kama mwalimu amekuwa akipata wa kubadilishana nae yeye hugoma kwa sababu zake.
Moja akidai huyo unaetaka kubadilisha aje ila wewe hakuna kuhama wa kuondoka nimeshuhudia zaidi ya waaalimu 10 wakikataliwa kuhama na huyu afisa huku wale wengine wa upande wa pili wakija na yeye kuzuia waaalimu wengine wasiende kule wanakotakiwa kuenda. Ina Maaana ameanzisha Tamisemi yake ndani ya wilaya na amejipa mamlaka ya waalimu hakuna kuondoka wala kuhama.
2. Pili kuamisha waalimu kwa nguvu katika shule zinazoanzishwa bila kuwalipa stahiki zao.Amekuwa kazi yake ni kutoa vitisho tuuu kwa waalimu mpaka basi usipoenda kule anakotaka uende atakufuta kazi. Tamisemi na Wizara ya elimu tembeleeni hii wilaya Muone huyu mtu alivyojigeuza mungu mtu katika katika ofisi ya Umma. Yeye rafiki zake ni wafanyakazi wanawake.
3. Kuwa na upendeleo mkubwa kwa watu wanaotoka maeneo ya njombe na Iringa.Amekuwana na upendeleo wa wazi wazi kwa wafanyakazi wanaotoka maeneo hayo. Nitawataja watu ambao snawapebdekea ikibidi.
4. Kufokea waalimu kama watoto wake na kutoa vitisho ambavyo katika hali yeyote umuogopesha mwalimu mjinga. Nilishuhudia mwalimu akifokewa na na kuambiwa hutopata kazi yeyote ambayo ni maalum. Mimi mwenyewe iliwahi kutokea varangati kubwa na yeye baada ya kung'ang'ani nimpe fedha kwa ajili ya kitu fulani. Mwisho kwa heshima na taadhima naomba tamisemi na wizara ya elimu ifike wilayani hapa na iulize baadhi ya watumishi ijue ukweli nabichukue hatua juuu ya mtu ambae ni Untochable