King’asti
Platinum Member
- Nov 26, 2009
- 27,823
- 24,786
hapo kwenye bei ina maana hutaki ajue bei ili umchakachue?lol!
there is nothing more romantic like being in the kitchen na mwenzi wako, wakati mwingine mnamalizana huko huko. mengine tutakuambia kwenye kparty,lol
<br />
there is nothing more romantic like being in the kitchen na mwenzi wako, wakati mwingine mnamalizana huko huko. mengine tutakuambia kwenye kparty,lol
<br /><b>mwanaume kujua fungu la nyanya sokoni ni sh ngapi na vitunguu vya mia ni vingapi ni haki? kila mtu akae kwa heshima zake bwana yaani mume wangu kabisa atwange tangawizi na kukuna nazi sipati photo</b>
<br />