Salute wakuu!
Mimi ni kijana wa miaka 27,kipindi na soma chuo niliwahi kutongonzwa na binti ambaye alikuwa tayari ana mtoto sikuona kuwa ni shida maana kila nlipo kuwa na hamu nae alinipa bila usumbufu wowote.
Kwa mwanzo nlikuwa sijajua maisha yake taratibu nikaanza kumjua, kumbe ni binti ambaye alikuwa hana kazi Maalumu alikuwa anawapenzi wengi ambao ndio walikuwa wakimuweka mjini ubaya nlikuwa tayari nimesha mpenda.
Kwa kupungukiwa akili nikasema wacha nimbadilishe nilijua shida yake inayo msumbua ni pesa nikawa na muhudimia japo sikuweza kutimiza mahitaji yake yote,kwahyo tabia ya kuruka na wanaume ikaendelea japo kwa uchache.
Kabla sijamaliza chuo alinetegeshea mimba nyumbani wakajua ila wakanishauri nisitishe mawasiliano na huyo binti Mpaka ntakapo maliza chuo, ila tutaendelea kumuhudumia huyo binti na ikawa hvyo.
Baada ya yeye kujifungua akapata Mpenzi alikuwa kinyozi wa saloon, meanwhile huduma zote mimi ndio nlikuwa natoa pale anapoishi,sikuona kama ni shida yeye kuwa na mahusiano mengine.
Siku zikapita nikamaliza chuo nikawa nikienda kumona mtoto na kurudi kwangu, siku moja tukakaa tukayaongea, penzi likarudi na akaahidi ya kuwa ataachana na huyo kijana. Kidume nikatulia nikahisi nimekuwa mkubwa nahitaji kuoa huyu mwanamke, tukaweka mipango ya kutambulishana Kwa wazazi liwe jambo official.
Kabla ya hayo kutimia kumbe mwenzangu bado hajatulia kila kukicha magomvi akawa halali nyumbani siku nyingine anaenda kulala kwa wanaume wake,Kuna siku nimekuta SMS za huyo kijana wa saloon Wakiitana mume na mke na siku chache nyuma aliniambia kuwa ana mimba. Ile mimba ikazua mzozo akaitoa mwenyewe.
Tumeendelea kuishi majuzi nikakuta video wamejirecord wakiwa kitandani na huyo Kijana wa saloon. Nilimpiga na simu yake kichwani.
Yeye na mama yake wakanifungulia shitaka la shambulio, na bila kuwa na uoga akaniambia hanitaki ana mpenda yule kijana wa saloon. Kihistoria mama yake ana watoto saba kila mmoja na baba yake.
Tumeshaachana week tatu sasa ila changamoto ipo kwenye malezi ya mtoto.
Nawasilisha.
Mimi ni kijana wa miaka 27,kipindi na soma chuo niliwahi kutongonzwa na binti ambaye alikuwa tayari ana mtoto sikuona kuwa ni shida maana kila nlipo kuwa na hamu nae alinipa bila usumbufu wowote.
Kwa mwanzo nlikuwa sijajua maisha yake taratibu nikaanza kumjua, kumbe ni binti ambaye alikuwa hana kazi Maalumu alikuwa anawapenzi wengi ambao ndio walikuwa wakimuweka mjini ubaya nlikuwa tayari nimesha mpenda.
Kwa kupungukiwa akili nikasema wacha nimbadilishe nilijua shida yake inayo msumbua ni pesa nikawa na muhudimia japo sikuweza kutimiza mahitaji yake yote,kwahyo tabia ya kuruka na wanaume ikaendelea japo kwa uchache.
Kabla sijamaliza chuo alinetegeshea mimba nyumbani wakajua ila wakanishauri nisitishe mawasiliano na huyo binti Mpaka ntakapo maliza chuo, ila tutaendelea kumuhudumia huyo binti na ikawa hvyo.
Baada ya yeye kujifungua akapata Mpenzi alikuwa kinyozi wa saloon, meanwhile huduma zote mimi ndio nlikuwa natoa pale anapoishi,sikuona kama ni shida yeye kuwa na mahusiano mengine.
Siku zikapita nikamaliza chuo nikawa nikienda kumona mtoto na kurudi kwangu, siku moja tukakaa tukayaongea, penzi likarudi na akaahidi ya kuwa ataachana na huyo kijana. Kidume nikatulia nikahisi nimekuwa mkubwa nahitaji kuoa huyu mwanamke, tukaweka mipango ya kutambulishana Kwa wazazi liwe jambo official.
Kabla ya hayo kutimia kumbe mwenzangu bado hajatulia kila kukicha magomvi akawa halali nyumbani siku nyingine anaenda kulala kwa wanaume wake,Kuna siku nimekuta SMS za huyo kijana wa saloon Wakiitana mume na mke na siku chache nyuma aliniambia kuwa ana mimba. Ile mimba ikazua mzozo akaitoa mwenyewe.
Tumeendelea kuishi majuzi nikakuta video wamejirecord wakiwa kitandani na huyo Kijana wa saloon. Nilimpiga na simu yake kichwani.
Yeye na mama yake wakanifungulia shitaka la shambulio, na bila kuwa na uoga akaniambia hanitaki ana mpenda yule kijana wa saloon. Kihistoria mama yake ana watoto saba kila mmoja na baba yake.
Tumeshaachana week tatu sasa ila changamoto ipo kwenye malezi ya mtoto.
Nawasilisha.