Kasara Magafu
Member
- May 22, 2018
- 63
- 73
Mkuu huko kolelo nimekaa na huo uchawi upo kweli yaani mzee baba usiombe kufika koleloMkuu umeshawahi kuishi au kusikia habari za Tukuyu Mbeya? Morogoro sidhani kama kuna uchawi kama tunavyoaminishwa humu.
Mkuu huko kolelo nimekaa na huo uchawi upo kweli yaani mzee baba usiombe kufika koleloMkuu umeshawahi kuishi au kusikia habari za Tukuyu Mbeya? Morogoro sidhani kama kuna uchawi kama tunavyoaminishwa humu.
Mimi siishi Morogoro lakini mkoa naohishi vigodoro vipo, na wapo wasichana wanaozalia kwenye nyumba za babu zao lakini si waluguru.
Siwezi kukupa jibu la moja kwa moja la swali lako sababu sijawahi kufanya wala kusoma utafiti wa hoja hizo unless ukija na tafiti rasmi ya hilo nitakubali kwa 100% haya uliyoniuliza. Mkuu umeshawahi kukutana na kitu kinachoitwa fallacy of hasty generalization? Kama hujawahi kukutana nacho naomba ugoogle ukisome kidogo nadhani itanielewa namaanisha nini napopingana na hoja zako.
Bro kujua hoja yenye mantiki si mpaka huishi sehemu fulani. Yaani mimi nachoangalia hapa ni kukosekana kwa uthibitisho wenye ushawishi wa sisi kukubali hoja yako. Mimi ni mtembeaji, nimetembea maeneo mengi ya nchi ikiwemo na huko Morogoro. Uko Konga napajua mpaka mbele kule Tangeni, Mzumbe kipera n.k.Sasa kama hujaishi morogoro unatetea nini?
Sasa nakwambia tembelea mitaa ya mzinga, konga, kiloka hyo ni kwa nje ya mji. ..
Katikati ya mji tembelea mlapakolo, vibandani, Nunge, manzese, mjimpya na kichangani. ...
Zaidi ya hapo ukiendelea kuwatetea utakuwa unabisha kwasababu ubishi ni asili yako. ...
Vijana wa siku hizi bhana. Kitu unakiona unataka mpaka u Google
Bro kujua hoja yenye mantiki si mpaka huishi sehemu fulani. Yaani mimi nachoangalia hapa ni kukosekana kwa uthibitisho wenye ushawishi wa sisi kukubali hoja yako. Mimi ni mtembeaji, nimetembea maeneo mengi ya nchi ikiwemo na huko Morogoro. Uko Konga napajua mpaka mbele kule Tangeni, Mzumbe kipera n.k.
Nafikiri inawezekana nakukwaza naomba nifunge mjadala. Lakini kiukweli bado sijaona hoja hasa isiyo chembe ya makosa ya kimantiki ambayo hata mtu hasiyeishi Tanzania akisoma akakubaliana na ww kwa 100%. Asante na usiku mwema mkuu
Acha zarauuu wewe kwani we kibila gani? pengine usikute wewe ni ushumire a.k.a mbwenga a.k.a Mupe Mupe MurukeUsijaribu kuishi na hawa species.....hawa si species za binadamu hawa wakawaida...
Sent from my SM-G532F using Tapatalk
Endelea kubahatisha hivyohivyoAcha zarauuu wewe kwani we kibila gani? pengine usikute wewe ni ushumire a.k.a mbwenga a.k.a Mupe Mupe Muruke
Mi nimetupa jiwe gizani kama limekupata au la is up 2uEndelea kubahatisha hivyohivyo
Sent from my SM-G532F using Tapatalk
Hahahahaha umenikumbusha ule mpira walikuwa wanarushiana baada ya mdada mweupe kuweka picha yake
HahahaaaaHahahahaha umenikumbusha ule mpira walikuwa wanarushiana baada ya mdada mweupe kuweka picha yake
Sent from my SM-G570F using Tapatalk
Waluguru ni Kati ya makabila dhaifu tz kimsingi mchaga na mpare hawaoani na waluguru wanawadharau sanaNimecheka sana . Kwanza hao waluguru uliowatolea mfano kumbe walishindwa kwa Nyerere eti unajisifia kuwa walimsumbua.
Pili mfano wa sasa unaoutoa eti tuangalie wachezaji wa mpira,wachezaji haohao walioishia simba na yanga.
Nimekulia maisha yangu yote ya utoto na ujana Morogoro , nawafahamu vizuri nyie watu. Ni wafupi, wabishi washirikina bila kusahau wavivu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo wabunge wa Arusha mjini wote walikuwa waarusha?Waluguru ni Kati ya makabila dhaifu tz kimsingi mchaga na mpare hawaoani na waluguru wanawadharau sana
Waluguru ni dhaifu mpk hawapendani wao Kwa wao na wabunge wao wengi sio waluguru
Nyerere
Amir jamal
Shamim khan
Aziz abood
Dr mzeru alikaa kipindi kimoja baada ya kuuliza swali la kijinga bungeni eti kwanini viberiti havijai