Huwajui waluguru ndio maana

Huwajui waluguru ndio maana

😂😂😂😂njoo tu front...!sijajuaga bado mema ya waluguru as nimeishi nao kwa 10yrs nw..!nna jirani mluguru jaman...unajua nahis atakufa siku si zake😂😂...!naishia kumuonea hruma tu ..hapendi anakuona wknd unaenda town😂hapend kuona unatoka na wanao😂😂...hapend nipate mgen mwenye usafiri..anataka wagen wanaokuja na bodaboda tu😂😂!...yaan hawana jema jaman...!
tofauti ya wasukuma sasa...msukuma ana asili ya ukarimu yaan msukuma km una sherehe huna haja ya kumwalika anakuja mwenyeweee...anaingia front..humkut msukuma anasubiria aambiwe ale sasa mkuguru anataka abebwe abembelezwee yaan muda wotw unamuona anakijiba cha roho😂😂😂..
Hahahaha ngoja waje mimi niko pembeni naangalia mpambano, pole best ana tabia ya wazaramo nao baadhi wako hivyo kusema kweli Wasukuma ni tofauti sana ukiwa jirani nao amani.
 
Hahahaha ngoja waje mimi niko pembeni naangalia mpambano, pole best ana tabia ya wazaramo nao baadhi wako hivyo kusema kweli Wasukuma ni tofauti sana ukiwa jirani nao amani.

hahaa wazaramo na luguru lao 1...!wasukuma wapo social sana yaan
 
Mambo mengi yanayozungumzwa humu ni ya Waluguru wa zamani. Siku hizi kutokana na muingiliano wa makabila na watu toka maeneo mbalimbali, waluguru wamebadilika sana.
Acha kudanganya. ....
Mm nameanza kuishi na waluguru 2012 haya tunayoyaongea ni currently
 
Hao wasukuma ndo buure kabisa, kwa u-trekta si wapingi, ila wakishavuna ndo utawajua kuwa ni mapimbi tu

Na baadhi ya mikoa madada poa washawashtukia, wanaenda kuweka kambi kwenye vijiji vyao kipndi cha mavuno

Ndo maana most of them, kazi kuubwa mafanikio nukta,

Sent using Jamii Forums mobile app

Tafadhali sana jiheshimu ww mluguru
 
Wavidunda ndio wafupi sana na wenyewe hupenda kujitambulisha kama waluguru.
 
Mambo mengi yanayozungumzwa humu ni ya Waluguru wa zamani. Siku hizi kutokana na muingiliano wa makabila na watu toka maeneo mbalimbali, waluguru wamebadilika sana.
Kama wamebadilika labda mengine lakini uchawi
bado,ukiishi karibu nao jiandae au uwe mtu wa maombi au mshirikina.
 
Unaenda kwa mganga akutoe mapepo yanayokusumbua yapo matano anakufanyia yake unaondoka na Mapepo Kumi.
Uzi umeletwa kujitetea walichokutana nacho ,Ata Shetani kapata Aibu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Waluguru wameshindwa kujiongoza mwenyewe asilimia kubwa ya majimbo ya yamaongozwa na waarabu kina murad,abood yaani wanawaabudu waarabu ata akitokea mbantu mweusi mjanja wanampa jina mwarabu.
 
Acha kudanganya. ....
Mm nameanza kuishi na waluguru 2012 haya tunayoyaongea ni currently
Mimi sidanganyi nasema nachokiona na wewe umetoa mtazamo wako. Uongo umetoka wapi tena mkuu? Uthibitisho wa ukweli wako upo wapi ili wangu uwe uwongo?
 
Kama wamebadilika labda mengine lakini uchawi
bado,ukiishi karibu nao jiandae au uwe mtu wa maombi au mshirikina.
Sina uhakika sana, na siwezi kukubishia sababu sijui umetumia sample gani kusema hivyo? Ila sidhani waluguru wanaingia hata kwenye top ten ya uchawi
 
Ukimpeleka mtt wa kiluguru bar ya karibu na kwao wanakuja ndugu zake wore wanaagiza vyakula plisner ukiwaachia manyoya wanasema jaaah.
 
Waluguru ndugu zao wandamba wa Ifakara. Wote hawa ndio wajanja waliojaa kutoka Ifakara , Moro hadi Dar. Ndio wasumbufu wakubwa wa abiria Msamvu na Ubungo. Wengi makonda na wamachinga. Wajanja, vibaka na matapeli wakubwa Dar na kwingineko. Mluguru na mndamba wanapenda Dar kuliko hapo ndio chuo kikuu chao kama hujafika Dar kwao wewe hujawa mtu. Wakati wachagga wakienda kwao xmass wao huenda Dar. Wanaujua ubabaishaji na ni wajuzi sana wa kupiga sound.
 
Back
Top Bottom