Huwajui waluguru ndio maana

Huwajui waluguru ndio maana

nimekaa sana mafisa mzambarauni pale morogoro tulikuwa tunaenda huko kolelo na mkuyuni kwa waluguru kweli ni wafupi, wabishi na wanaamini sana mambo ya kishirikina
 
Hulka ya mtu msiitumie kujumlisha jamii flani hamna aliyekamilika na sio sababu ya jamii bali hulka. Ukabira sielewi maana yake.
 
Hayo nayoyasema ndio yanayotokea sasa. ....
Unaishi mtaa gani morogoro ambao hauna vigodoro.
Unataka kuniambia mambo ya kunemwa hayapo?
Unataka kuniambia watoto wa kirugulu hawazaliani kwenye nyumba za wazazi na babu zao?
Mimi sidanganyi nasema nachokiona na wewe umetoa mtazamo wako. Uongo umetoka wapi tena mkuu? Uthibitisho wa ukweli wako upo wapi ili wangu uwe uwongo?
 
Kijana wa miaka 24 wa kihehe ni tofauti kbs kbs na kijana umri huo wa kiluguru..sijui kwann jaman!kija a wa umri huo mhehe ukikaa naye utajua hapa nimekaa na kijana anayejitambua..mara nyingi atakuambia nimelima eka 2 za mahindi au maharage..au atakuwa ana bustan za njegere au kabeji..
huyu wa 24mluguru age hyo..ametoroka kwao amempa mimba mtoto wa jiran..ashanyoa kiduku akijitahf sana baa anaendesha boda ya kugongea kwa mshikaji...!hela anayopata inapitiliza dukan anunue pamba ashine😂
Mimi ni mluguru na ninawajua vizuri wahehe. Huwezi kutofautisha mhehe na mluguru. Tofauti kubwa kati ya wahehe na waluguru ni kwa waluguru kuwa kabila linalopatikana mikoa kadhaa ya Pwani.
Watu wengi hawaelewi kuwa waluguru na wazaramo wameishi Dar na Pwani karibia miaka sawa na wote ni wenyeji wa maeneo hayo kwa asili kabisa baada ya kuwashinda wakamba vitani.
Waluguru na wahehe kwa upande wa magharibi ya uluguruni, ni watu wamoja na wana majina na maana ya maneno yanayofanana.
Kuna waluguru wakristo (roman catholics) wengi na waluguru waislam wengi pia kutegemea na mahali wanapoishi. Mahali wanapoishi waluguru kunachangia sana na tabia zao. Ni sawa na kusema wahaya huku uswazi ni machangudoa waliokubuhu na wa bei rahisi. Lakini hiyo siyo kwamba ndiyo hulka yao.

Wahehe wana bahati kubwa wanawake wao ni majembe hasa, ila wanaume wahehe ni walevi sana, wavivu na wabishi wa kupindukia na wana ujeuri. Wahehe pia ni watu wafupi sana nawajua wahehe vizuri mno.
 
Hahahaha watani zangu waluguru mkuje pande hizi Manengelo ana leta utani wa ngumi huku, Binafsi najiuliza ni yale magimbi wanayo kula toka wakiwa watoto yanapelekea kuwa wafupi 🤣🤣🤣🤣
😂😂 ebwana kweli umewachoka waluguru
 
Kati ya miungu ya waluguru ni waarabu. Wapo radhi wampe mwarabu ubunge miaka 30 kuliko mbongo.
 
Hayo nayoyasema ndio yanayotokea sasa. ....
Unaishi mtaa gani morogoro ambao hauna vigodoro.
Unataka kuniambia mambo ya kunemwa hayapo?
Unataka kuniambia watoto wa kirugulu hawazaliani kwenye nyumba za wazazi na babu zao?
Mimi siishi Morogoro lakini mkoa naohishi vigodoro vipo, na wapo wasichana wanaozalia kwenye nyumba za babu zao lakini si waluguru.

Siwezi kukupa jibu la moja kwa moja la swali lako sababu sijawahi kufanya wala kusoma utafiti wa hoja hizo unless ukija na tafiti rasmi ya hilo nitakubali kwa 100% haya uliyoniuliza. Mkuu umeshawahi kukutana na kitu kinachoitwa fallacy of hasty generalization? Kama hujawahi kukutana nacho naomba ugoogle ukisome kidogo nadhani itanielewa namaanisha nini napopingana na hoja zako.
 
nimekaa sana mafisa mzambarauni pale morogoro tulikuwa tunaenda huko kolelo na mkuyuni kwa waluguru kweli ni wafupi, wabishi na wanaamini sana mambo ya kishirikina
Mkuu umeshawahi kuishi au kusikia habari za Tukuyu Mbeya? Morogoro sidhani kama kuna uchawi kama tunavyoaminishwa humu.
 
Mruguru naye unamuweka kwenye list! Utakuwa wewe ni kabila lile lile cc tunaofanya kazi huku tuulize, ni wa ngono na vigodoro tu
 
Back
Top Bottom