Huwajui waluguru ndio maana

Huwajui waluguru ndio maana

Amos makala ndio umemuongeza kwenye list ya wabunge wa Morogoro ambao sio waluguru

japo mimi nilizungumzia pale manispaa toka enzi za kina julius Nyerere amir jamal shamim khan aziz abood kwa uchache dr mzeru
 
Mloka na mkude ni wanaume bwana acha kabisa. Mloka alikataa kuhama mpaka alipopigwa na mwenyenyumba. Na mkude ndio kabisaa alibomoa nyumba yake kuwakomoa wapangaji!! Baadhi ya Sera za waluguru!
 
Waluguru ni kwikwi. Halafu walivyo wa ajabu wanakimbilia kuoa wamachame. Wacha wanyooshwe
 
Back
Top Bottom