Huwa simrudii mwanamke wa hivi

Huwa simrudii mwanamke wa hivi

Mweusi Mweupe

JF-Expert Member
Joined
Mar 21, 2017
Posts
332
Reaction score
322
Hapa ikumbukwe kuwa kila kiumbe ana Tabia zake anazozipenda na kuzichukia.

Mie mwanamke mwenye tabia hii huwa tunaachana 10:00 asubuhi.

Tabia yenyewe ni hii ya mwanamke kufua chupi yake kwenye ndoo au kopo la kuogea, ama kwa hakika nina uwezo wa kuvumilia uchafu wowote toka kwa mwanamke lakini sio uchafu huo.
 
Hapa ikumbukwe kuwa kila kiumbe ana Tabia zake anazozipenda na kuzichukia.

Mie mwanamke mwenye tabia hii huwa tunaachana 10:00 asubuhi.

Tabia yenyewe ni hii ya mwanamke kufua chupi yake kwenye ndoo au kopo la kuogea, ama kwa hakika Nina uwezo Wa kuvumilia uchafu wowlte toka kwa mwanamke lakini sio uchafu huo.

Kwa hiyo kufua chuppi kwako wewe ni uchafu? Wewe kweli akili yako chafu
 
Back
Top Bottom