Huwa simrudii mwanamke wa hivi

Huwa simrudii mwanamke wa hivi

Maada za wengine humu ni za watoto waliokosa kuchaguliwa kidato cha tano...

Kaka usinivunjie heshima, siku ukiona makamu Wa rais anasafiri nije ya nchi tafuta MTU atakaye vaa tofauti na protokari inavyotaka basi ndie mie huyo.
 
Huyu atakuwa ana roho ya kukataliwa na wanawake kaombewe na gwajima mkuu

Kwanza sijawahi kununua mapenzi, japo huwa nayalipia. Nilianza upuuzi huo 1994 sasa hadi leo piga hesabu Nina behewa ngapi huko nyuma?.
 
Usikute anaweka chupi kwenye sufuria kama anaisuuza vile, halafu maji anayatumia kukupikia chai kama vile alivyoagizwa na mganga.
 
Uchafu gani weye nataka sitaki?! Mtu umekesha unajivurugavurugisha mumo humo, sa huu utwambie uchafu! Peleka huko ushamba wako, kama mwanamke ni mchafu, waache usiwaguse ebho!
 
Au alitaka afulie kwenye jagi la maji ya kunywa na kuzianika kwenye friji

Ndugu, mie kuna binti tuliachana kisa tu kutema mate bafuni wakati Wa kuoga, yaan alikuwa hapendi mpaka namshangaa. Ndo maana nikaja na utangulizi kitu chaweza kuwa kero kwangu lakini kwa mwingine ikawa sawa tu.
 
Back
Top Bottom