Curious gal
JF-Expert Member
- Dec 1, 2014
- 3,200
- 4,010
Hahahahhahahaahhahahahaaaaaa nimecheka lolsasa ulitaka afulie chupi yake kwenye sufuria la kupikia au?
Hahahahhahahaahhahahahaaaaaa nimecheka lolsasa ulitaka afulie chupi yake kwenye sufuria la kupikia au?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Sky umeuaMbona baada ya kuoga na pichu kufuliwa ndoo inasuzwa na kuwekewa maji ya kunywa?
Kwenda uvinza
sasa ulitaka afulie chupi yake kwenye sufuria la kupikia au?
Kuzama chumvini hamuoni uchafu ila hilo tu ndo uchafu lol
Wanaume ni ngumu sana kuwaelewa
invest what you are willing to lose
dah ww kufua tu akat wenzako tunapiga deki bahari shauri yako utalea watt wa wanaume wenzako kila siku
Sent using Jamii Forums mobile app
NdioKwa hiyo wanawake ndo rahisi kuwaelewa?
Mbona baada ya kuoga na pichu kufuliwa ndoo inasuzwa na kuwekewa maji ya kunywa?
Hahahahahaha tena ulitakiwa upate na ukungu kabisa mdomoniTangia nipige deki na kuharisha wiki nzima, niliacha kabisa. Ni mke wangu tu ndio atanizamisha chumvini.
Itakua... Sasa nikienda kuoga nisifue hyo pupw... Penyewe hapo niache tu bobsasa ulitaka afulie chupi yake kwenye sufuria la kupikia au?
Kuzama chumvini ndo nini?
Je kufua mlembe kwenye beseni la kuoshea vyombo mkuu?Mbona baada ya kuoga na pichu kufuliwa ndoo inasuzwa na kuwekewa maji ya kunywa?
Hahahahahaha tena ulitakiwa upate na ukungu kabisa mdomoni
Je kufua mlembe kwenye beseni la kuoshea vyombo mkuu?