Huwa simrudii mwanamke wa hivi

Huwa simrudii mwanamke wa hivi

Hapa ikumbukwe kuwa kila kiumbe ana Tabia zake anazozipenda na kuzichukia.

Mie mwanamke mwenye tabia hii huwa tunaachana 10:00 asubuhi.

Tabia yenyewe ni hii ya mwanamke kufua chupi yake kwenye ndoo au kopo la kuogea, ama kwa hakika Nina uwezo Wa kuvumilia uchafu wowlte toka kwa mwanamke lakini sio uchafu huo.
Boxer Zako Mkeo Anafulia Wapi Mkuu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuzama chumvini hamuoni uchafu ila hilo tu ndo uchafu lol

Wanaume ni ngumu sana kuwaelewa

invest what you are willing to lose
Acha kutujumuisha wote kwa upuuzi wa mtu mmoja...[emoji19] [emoji19] ..!!..
Wengine ugonjwa wetu ni kuzinusa..
 
Yaani wewe umenichekeshaa mno.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
.
.
Nyie wadada acheni kutumia ndoo za kuogea kufulia chupi zenu, tumieni sufuria au hotpots.
* MBITIYAZA , Nalendwa , espy , Heaven Sent , Neybright




hahahhaaha mtoa mada kavurugwa !na hv ni wknd tutegemee meng haaha demi nilikumis na group yangu hhhahahhhah hureeeeeeeee!
 
Ungekua msafi ujielezavyo kuuchukia uchafu hakika ungeanza kuuchukia mwili wako kwa kuchunguza taulo lako..mtu kafua unamchukia,je ingekua hafui?
 
Wewe si upo busy kulijenga taifa? Jana tumekumiss sana kule kijiweni



hahahahhahha mshaambiw wanawake gan mnashinda insta na jf mnalalamika wanaume wawapike hhaha nilicheka sana aisee ! shoga nna harus leo ya mtu wa karibu bas toka jana heka heka !nilienda kusukaz! ngj nije kule nikajiproud kuwa mrs teh teh teh !@heaven sent alinichosha akasema am proud to be a daughter /sister hahhahhhhh
 
kumbe zinafuliwa kwenye ndooo za kuogea aghr.... yaani nusu nitapike
 
hahahahhahha mshaambiw wanawake gan mnashinda insta na jf mnalalamika wanaume wawapike hhaha nilicheka sana aisee ! shoga nna harus leo ya mtu wa karibu bas toka jana heka heka !nilienda kusukaz! ngj nije kule nikajiproud kuwa mrs teh teh teh !@heaven sent alinichosha akasema am proud to be a daughter /sister hahhahhhhh

Harusi njema mwaya!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom