Huunimtego au jini

Huunimtego au jini

Kama humtaki unataka sisi tukushauri nini?...namba umeshaijua kinachokufanya uendelee kuipokea hiyo simu ya HUSNA ni nini?
Matatizo mengine huwa mwayakaribisha halafu baadae mtakuja hapa kuomba ushauri...hebu tuwacheni tupumue, mnatumalizia wino wa vi-board vyetu alaaah!
walahi natamani nikununulie nini sijui kha!ahahahahhahhahahhahhahhahahha yani nimecheeekaaje!eti mnatumalizia wino wa vi board vyetu!we mtu hufai kabisa lol! Madame B wala hatajali kukupu u CEO pale ofisini kwetu ujue!dah!umenifanya jicheke usiku huu kama kitu gani!
 
Last edited by a moderator:
walahi natamani nikununulie nini sijui kha!ahahahahhahhahahhahhahhahahha yani nimecheeekaaje!eti mnatumalizia wino wa vi board vyetu!we mtu hufai kabisa lol! Madame B wala hatajali kukupu u CEO pale ofisini kwetu ujue!dah!umenifanya jicheke usiku huu kama kitu gani!

watu wengine wavivu tu kufikiri maana kila kitu kakianika kweupee halafu anashindwa kuamua...adui kashaweka wazi silaha zake, sasa kwa nini anambwela mapema hivyo.
 
Last edited by a moderator:
Ishu ndogo kama hiyo inakuumiza kichwa mkuu,ita mtoto aje Dom
akifika mthaminishe ukiona analipa kula mzigo,pandisha bus arudi korogwe
then songesha na kitabu,boom si mmeshapata?

huu ni ukosefu wa hekima.
 
Mi nakuja na ushauri mwingine isitoshe skendo kama inayo karibia na kufanana na hiyo imenitokea hivi majizi. Japokuwa nilitaka mwenyewe.

Mi naona anaweza kuwa alikosea namba, lakini haamini kuwa si we, au amejua si wewe lakini ameona akunga'nganie.

Kisa changu kilikuwa hivi.

Ilikuwa asubuhi njema ya tarehe 3/09/12. nilifika katika stendi ya mabasi yaendayo arusha kwa ajili ya safari ya kurudi huku kazini kwangu (vichakani) Nikiwa katika stendi hiyo ya wilaya (jina kapuni) nilimuona binti mrembo ambae kwa dhalula nilijikuta nampenda, aroo alikuwa na umbo balaa, alikuwa na sifa za umbo na muonekano ambao nataka my ideal woman awe nao.

baada ya dakiaka kadha nilijisogeza kwa binti huyo, mara nikaanza kumchukua maelzo Binti huyo aliniambia kuwa anitwa Neema ( Surname kapuni) na ni mwalimu wa shule ya msingi wilayani humo kijiji kimoja hivi. Wakati zoezi la kumchukua maelezo likiendela mara basi likatokea tukapanda.

Baada ya kumchukua maelezo nilimuomba namba ya simu, lakini akachomoa. sikujali kwani nilijua kuwa namba yake naweza ipata ndani ya masaa machache hata kabla sijafika ninapoelekea.

Nilipofika mahali pa kushukia niliteremka, na abiria wengine waliteremka kwa ajili ya kupata lunch. awakati wanapata lunch Dereva aliekuja nifata alifika, basi nilichukua jukumu la kumwambia huyo dada nitampigia nikipata namba yake, hivyo nilimuomba apokee endapo ntampigia.

Waliendelea na safari yao ya kuelekea Arusha na mimi nikaelekea kazini kwangu.

Picha linaanzia hapa

Nilichukua hiyo namba na kuipiga, ilipokelewa na mdada mbae nilimkumbusha jinsi tulivyo kutana, basi niliendelea kumwaga swaga zangu mpaka huyo mdada akakubali. Tulipanga siku ya kukutana na siku yenyewe ilikuwa ni tarehe 17/10/12.

Nilichukua kijilikizob cha siku 14. Ilipifika tarehe 17 nilifunga safari ya kuelekea wilayani huko tuliko kutana. Nilipofika nilifikia sehemu moja ambayo tulikubaliana kuwa atakuja nichukua twende kwake

Huwezi mtu alie kuja nilikuwa sijawahi kumuona wala simufahamu. Kwa ustarabu nilimukalisha chini nikajaribu kumuuliza kama tushawahi kuonana, badala ya yeye kusema ukweli akaanza kulia akida kwmba ninavyomfanyia sio vizuri. Kutokana na urembo aliokkuwanoa huyo mdada ilibidi nimkubalie.

Tulienda kwake nakaka kama siku 5 alafu nikasepa. Lakini ukweli unabaki palepele kuwa huyo dada simjui na sikuwahi kumuona kabla ya siku hiyo laki I yeye anadai kuwa tulikuta. Hivi punde name ntaomba msaada kwa wana JF ili wanishauri jinsi ya kuachana nae kwani sina feelings nae hata kidogo lakini yeye kafa kaoza.

Hivyo basi hata wewe inaonekana huyo mtu anekuita john kachanganya namba kama mimi nilivyopewa namba feki nikajukuta nakutana na mtu nisie mjua.
 
Jamani hivi vikojoleo huwa vina nini?? Ni viungo vinavomfanya mwanadamu akawehuka!!!! Sasa we unauliza ufanyeje, kiukweli huna majibu au unazuga tu hapa!??
 
Akina Dada mnakoseaga sana kutumia mitego hatarishi kama hii, sema tu sasa nimeoa na sidhan kama wife anaweza kutaka kunitega ki zembe hivyo, ila siku akijaribu kuleta mitego ya style hiyo atajuta coz afe beki afe kipa huyo Demu lazima nitamala vya ukweli
 
Mimi nahisi huyo ni mwanamke anayekujua vizuri tu na amekuwa anakupenda kwa muda mrefu sasa kaamua kuja na style hiyo kukuonyesha yaliyo moyoni mwake! Maana kama ni demu wako anataka kukutega tu haiwezekani ifikie hatua ya kuwashirikisha rafiki zake na kukulilia kila anapoongea na wewe!!

Nakushauri kama hauna feelings naye just be a man.mwambie ukweli kuwa una mtu wako na haiwezekani kuwa katika mahusiano na yeye basi! Pia naunga mkono hoja ya mdau mmoja hapo juu kuwa mshirikishe na demu wako kwenye hili awe analijua mapema.
 
Mi nakuja na ushauri mwingine isitoshe skendo kama inayo karibia na kufanana na hiyo imenitokea hivi majizi. Japokuwa nilitaka mwenyewe.

Mi naona anaweza kuwa alikosea namba, lakini haamini kuwa si we, au amejua si wewe lakini ameona akunga'nganie.

Kisa changu kilikuwa hivi.

Ilikuwa asubuhi njema ya tarehe 3/09/12. nilifika katika stendi ya mabasi yaendayo arusha kwa ajili ya safari ya kurudi huku kazini kwangu (vichakani) Nikiwa katika stendi hiyo ya wilaya (jina kapuni) nilimuona binti mrembo ambae kwa dhalula nilijikuta nampenda, aroo alikuwa na umbo balaa, alikuwa na sifa za umbo na muonekano ambao nataka my ideal woman awe nao.

baada ya dakiaka kadha nilijisogeza kwa binti huyo, mara nikaanza kumchukua maelzo Binti huyo aliniambia kuwa anitwa Neema ( Surname kapuni) na ni mwalimu wa shule ya msingi wilayani humo kijiji kimoja hivi. Wakati zoezi la kumchukua maelezo likiendela mara basi likatokea tukapanda.

Baada ya kumchukua maelezo nilimuomba namba ya simu, lakini akachomoa. sikujali kwani nilijua kuwa namba yake naweza ipata ndani ya masaa machache hata kabla sijafika ninapoelekea.

Nilipofika mahali pa kushukia niliteremka, na abiria wengine waliteremka kwa ajili ya kupata lunch. awakati wanapata lunch Dereva aliekuja nifata alifika, basi nilichukua jukumu la kumwambia huyo dada nitampigia nikipata namba yake, hivyo nilimuomba apokee endapo ntampigia.

Waliendelea na safari yao ya kuelekea Arusha na mimi nikaelekea kazini kwangu.

Picha linaanzia hapa

Nilichukua hiyo namba na kuipiga, ilipokelewa na mdada mbae nilimkumbusha jinsi tulivyo kutana, basi niliendelea kumwaga swaga zangu mpaka huyo mdada akakubali. Tulipanga siku ya kukutana na siku yenyewe ilikuwa ni tarehe 17/10/12.

Nilichukua kijilikizob cha siku 14. Ilipifika tarehe 17 nilifunga safari ya kuelekea wilayani huko tuliko kutana. Nilipofika nilifikia sehemu moja ambayo tulikubaliana kuwa atakuja nichukua twende kwake

Huwezi mtu alie kuja nilikuwa sijawahi kumuona wala simufahamu. Kwa ustarabu nilimukalisha chini nikajaribu kumuuliza kama tushawahi kuonana, badala ya yeye kusema ukweli akaanza kulia akida kwmba ninavyomfanyia sio vizuri. Kutokana na urembo aliokkuwanoa huyo mdada ilibidi nimkubalie.

Tulienda kwake nakaka kama siku 5 alafu nikasepa. Lakini ukweli unabaki palepele kuwa huyo dada simjui na sikuwahi kumuona kabla ya siku hiyo laki I yeye anadai kuwa tulikuta. Hivi punde name ntaomba msaada kwa wana JF ili wanishauri jinsi ya kuachana nae kwani sina feelings nae hata kidogo lakini yeye kafa kaoza.

Hivyo basi hata wewe inaonekana huyo mtu anekuita john kachanganya namba kama mimi nilivyopewa namba feki nikajukuta nakutana na mtu nisie mjua.
Mkuu Hujaelezea Hiyo Number uliipata pataje
 
Kama humtaki unataka sisi tukushauri nini?...namba umeshaijua kinachokufanya uendelee kuipokea hiyo simu ya HUSNA ni nini?
Matatizo mengine huwa mwayakaribisha halafu baadae mtakuja hapa kuomba ushauri...hebu tuwacheni tupumue, mnatumalizia wino wa vi-board vyetu alaaah!

hahahahahaha eti wino unaisha hii noma
 
Nawe mtege bana...
Muite aje Dom, akifika tafuta rafiki zako kama watatu, muwe wanne. Mpokeeni kwa pamoja, kaeni nae sehem, then mwambie abashir nani alikuwa anaongea nae. Kabla ya kufanya hivyo, kama una dem mwambie kabisa na mwambie unataka kumzengua huyo mpiga sim, ili kama ni gem kacheya yeye aumbuke...
 
Anakulilia kwani umekufa? Achana na hizo simu zake... pia unaweza uka-block namba yake. Sasa kama na wewe unaendekeza mapenzi ya simu, endelea kupokea hizo namba zake.
Hebu tupe shule ya ku-block Mkuu.
 
Back
Top Bottom