ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 19,735
- 28,296
Mwambie anunue range rover.......Kuna mshikaji wangu yuko kwenye hatua za mwisho kutaka kununua gari kwa uzi huu asije hailisha
wezi hawagusagi hayo
Mwambie anunue range rover.......Kuna mshikaji wangu yuko kwenye hatua za mwisho kutaka kununua gari kwa uzi huu asije hailisha
Hata pikipiki wanafanya, ni kwamba ule waya unaocomplete circuitry ya kuwasha gari unakatwa kisha unafanyiwa bypass inayoenda hadi sehemu iliyojificha na ambayo unaijua wewe tu (mfano chini ya dash drawer) ambapo inawekwa switch hapo, kwahiyo bila kufungua ile dash drawer na kubetua ile switch, hakuna namna moto utaenda kwenye ‘Control box’ ya engine, hivyo starter itakuwa inazunguka tu lakini engine haipokei, maana ignition timing yote ipo controlled na ‘control box’, na kwa kuwa ni wezi, hawatakiwa na muda wa kuchomeka diagnostic machine kugundua tatizo lilipo, hivyo watakimbia tu...; infact, hata gari zenye immobiliser (keys /control box) hufanya kazi kwa technique kama hiiHii una apply kwa gari zote?
... au Aston Martin au sio?Mwambie anunue range rover.......
wezi hawagisagi hayo
Anunue ila alilinde: asimwamini kila mtu na kumwachia gari, awe makini na mafundi gerejiKuna mshikaji wangu yuko kwenye hatua za mwisho kutaka kununua gari kwa uzi huu asije hailisha
poleniDada yangu alilizwa IST Yake July Mwaka huu pale Kinondon biafra alikuwa salun maskini akajisahau.
Sijui waliiwasha vipi Mpaka Leo haijapatikana.
uwezo ndugu yanguMwambie anunue range rover.......
wezi hawagisagi hayo
Nimekuelewa.. Big up😀😀ingawa utakuta wameiba taa na milanho yoteDawa ya hawa jamaa unatoa betri ukiamka una connect unaendelea na safar zako
... au Aston Martin au sio?
Hii itadhibiti vipi wao kununua spare kutoka kwa wezi?Serikali itoe license maalumu kwa wauza spare parts used.
In short hakuna gari ngumu kuibwa, whether ni magari ya europeans,japanese or whatever.Kikubwa ni mtu kupaki gari mahali salama sababu hata alarm ni useless linapokuja swala la wezi ambao ni advanced ndo maana car parking nyingi sana kwenye nchi za wenzetu wanatumia advanced sensors kuweza kugundua mtu anayejaribu ku-unlock magari kwa njia zisizo halali.gari nyingi za kijapani zina mifumo rahisi kuwasha na kumanuva malock ya milango, ukitoa ign ukaunga waya twend, za europe zinakataa very complicated... nyingine ameongeza mdau juu hapo, soko la spea za gari za kijapani ni rahisi ukifananisha na VW, Benz, BMW, Audi nk...
Hii wezi wa Dar watapita kando kama wameona kinyesi.
Kuna video sema nilishaifutaga kitambo vinginevyo ningeiatach hapa; upo wizi wa gari yako inavuliwa kila kitu hapohapo parking kwako wanakuachia chesis tu juu ya mawe mpaka tairi wanabeba.Dawa ya hawa jamaa unatoa betri ukiamka una connect unaendelea na safar zako
Spea zake utaamuuzia nani sasa, Christiano Ronaldo?... au Aston Martin au sio?
Duuh wezi wa sikuhizi wako advanced sana.Technologia imekua sana.
Niliwah fanya research isiyo rasmi kuhusu hili.
Findings zangu zimegundua kuwa Wezi weng wanaiba Hizi IST kwa Signal Jamming...
Wawashe ya nini, wanavuta na breakdown tu, ukiwafuma katika process wanakwambia umepaki vibaya, utaikuta yard sijui iko wapi, ukienda kuuliza hakuna yard kama hiyoDada yangu alilizwa IST Yake July Mwaka huu pale Kinondon biafra alikuwa salun maskini akajisahau.
Sijui waliiwasha vipi Mpaka Leo haijapatikana.
Signal za kufunga milango ya gari (alarm remote) ni tofauti na zilizondani ya immobiliser system ya funguo na control box. Hivyo it makes sense kwamba wataweza kufungua milango, ila sio kuwasha gari, nakataa.Technologia imekua sana.
Niliwah fanya research isiyo rasmi kuhusu hili...
Dawa ni kununua Brevis tu 😂😂😂, ukiiba hata spea sijui unamuuzia nani, mfano engine, mafuta 30,000/= kwa siku 😂🇹🇿🇹🇿😂😂😂In short hakuna gari ngumu kuibwa, whether ni magari ya europeans,japanese or whatever.Kikubwa ni mtu kupaki gari mahali salama sababu hata alarm ni useless linapokuja swala la wezi ambao ni advanced ndo maana car parking nyingi sana kwenye nchi za wenzetu wanatumia advanced sensors kuweza kugundua mtu anayejaribu ku-unlock magari kwa njia zisizo halali.