Kweli wewe bado Sana kujuwa ulimwengu huu, Hivi wewe unawezaje kuizungumzia Afrika kiukombozi bila Tanzania? Unawezaje kuizungumzia amani ya ukanda huu bila Tanzania? Nenda kawaulize hata wachina juu ya Tanzania uone namna watakavyoizungumza kwa mambo makubwa ya kidiplomasia yaliyofanywa na nchi yetu, hata hicho kiswahili kupata ushawishi Afrika na dunia kwa ujumla Ni ushawishi na nguvu za diplomasia ya Tanzania yetu Hii imara na kimbilio la wanyonge,
Unazani hata hao wakimbizi wakinyarwanda na kiburundi walifika hapa na kukaa kwa bahati mbaya? Tanzania Ni ziwa na bahari ya matumaini, utakufa na wivu wako,
Tanzania Ni imara Sana chini ya mh Rais wetu mpendwa mama Samia suluhu Hassani