Huu sasa ni upendeleo wa wazi BBC

Huu sasa ni upendeleo wa wazi BBC

Hawana muda wa kuhoji viongozi waliokwenda kuzika kwa kukamua wananchi wao tozo.
Dunia ya ulimwengu wa kwanza ndio imekuwa ya kwanza kutambua mchango wa mh Rais wetu mpendwa katika juhudi zake za kujenga uchumi wa nchi yetu kwa mikono yetu wenyewe, maana wao wanatambua kuwa jukumu la kuleta maendeleo katika nchi yoyote Ile Ni lazima libebwe na wananchi husika kwa moyo wa uzalendo na kujitolea, wanajuwa nchi haiwezi kupiga hatua kwa watu kukaa na kusubiri misaada au mikopo yenye Maribaa makubwa ya kinyonyaji
 
Unaelewa madaraja ya makoloni ya Uingereza lakini?

Daraja la kwanza ni akina Scotland, Wales na Ireland kaskazini

Daraja la pili Canada, New zeland na Australia

Daraja la tatu akina India, SA nk

Daraja la nne ( Ndondo cup) ndio akina sisi tumo
Kwa hiyo kiongozivwa ndondo cup ndio amewasili London sio?
 
Ushawishi gani?
Mnapenda kumsingizia sana mama tozo wakuu.
Acheni uonevu
Huyu ndie Rais mwenye ushawishi na heshima kubwa kwa Sasa katika ukanda huu na Afrika yote kwa ujumla, Nazani unaweza ukarejea maneno ya William Ruto juu ya mama yetu mpendwa namna wanavyomheshimu Rais wetu
 
Wewe kwa ndoto zako ndio wasema hayo lakini Dunia inamuangalia mama Samia Kama tumaini jipya la uongozi wenye kuleta matumaini kwa watu wote, ANaangaliwa Kama kiongozi wa kuigwa, anaangaliwa Kama kiongozi mwenye ushawishi mkubwa Sana hapa Afrika na hata nje ya Afrika kwa sasa
Mkikaa kwenye vikao vya kiccm huo ndio ujinga mnaolishana, wanamuangalia kama nani wakati hata Tanzania yenyewe inafahamika na watu wachache sana duniani. Au unadhani kuwepo madarakani kwa wizi wa kura ni bonge ya sifa?
 
Nimefuatilia matangazo ya bbc kutoka London. Naona wanajitahidi kuwafanyia mahojiano viongozi wa kike akiwemo waziri mkuu wa Bangladesh na PM wa New zealand.

Ila sijaona mama yetu ambaye ni Rais kabisa akitafutwa na kuhojiwa. Isitoshe ameingia London mapema sana jana huku. Je huu sio upendeleo wa wazi? Kweli mawaziri wakuu ni muhimu kuliko Rais tena mwanamke?
Nikusahihishe hapo unapodhani hao mawaziri wakuu hawana hadhi sawa na Samia.
Wanaowakilisha nchi za jumuia ya madola ni wakuu wa nchi na serikali.

Hao uliowataja wana hadhi sawa sawa na Samia ambapo kwa mujibu wa nchi zao hao ndo wakuu wa serikali kama alivyo samia. Usiwalinganishe na yule kibaraka mwongo wa Magufuli PM majaliwa.
 
Nimefuatilia matangazo ya bbc kutoka London. Naona wanajitahidi kuwafanyia mahojiano viongozi wa kike akiwemo waziri mkuu wa Bangladesh na PM wa New zealand.

Ila sijaona mama yetu ambaye ni Rais kabisa akitafutwa na kuhojiwa. Isitoshe ameingia London mapema sana jana huku. Je huu sio upendeleo wa wazi? Kweli mawaziri wakuu ni muhimu kuliko Rais tena mwanamke?

Wanafanyiwa mahojiano walio alikwa! Mama yenu hakualikwa amekwenda mwenyewe
 
Mkikaa kwenye vikao vya kiccm huo ndio ujinga mnaolishana, wanamuangalia kama nani wakati hata Tanzania yenyewe inafahamika na watu wachache sana duniani. Au unadhani kuwepo madarakani kwa wizi wa kura ni bonge ya sifa?
Kweli wewe bado Sana kujuwa ulimwengu huu, Hivi wewe unawezaje kuizungumzia Afrika kiukombozi bila Tanzania? Unawezaje kuizungumzia amani ya ukanda huu bila Tanzania? Nenda kawaulize hata wachina juu ya Tanzania uone namna watakavyoizungumza kwa mambo makubwa ya kidiplomasia yaliyofanywa na nchi yetu, hata hicho kiswahili kupata ushawishi Afrika na dunia kwa ujumla Ni ushawishi na nguvu za diplomasia ya Tanzania yetu Hii imara na kimbilio la wanyonge,

Unazani hata hao wakimbizi wakinyarwanda na kiburundi walifika hapa na kukaa kwa bahati mbaya? Tanzania Ni ziwa na bahari ya matumaini, utakufa na wivu wako,

Tanzania Ni imara Sana chini ya mh Rais wetu mpendwa mama Samia suluhu Hassani
 
Meza Mate Kwanza Mwana Ccm
Mahojiano Siyo Nongwa Vile
 
Msitufanye woote ni wajinga kama nyie machawa.
Unasema ushawishi unalenga nini?
1. Amesuluhisha migogoro mingapi na akafaulu?
2. Amekuza uchumi kiasi gani angalau hata wengine washawishike kumfuatilia


Unaposema ushawishi lazima uwe na mifano halisi sio maneno maneno tu.

Huyu bado hajamkaribia hata nusu ya Magufuli katika mambo mengi tu
Ndani ya mwaka mmoja tu Kama Rais wa nchi hii na Amiri Jeshi mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama amefanikiwa kujenga uchumi unaomgusa kila mtanzania, angalia namna alivyogusa maisha ya wakulima kwa kuwahakikishia soko la uhakika na upatikanaji mzuri na kwa Bei nafuu pembejeo hasa mbolea baada ya kutoa Ruzuku ya billion Mia moja hamsini, amefanya mapinduzi ya huduma za Afya Elimu maji umeme na hata Miundombinu,

Balozi zetu zimeendelea kuheshimika Sana nje ya mipaka ya Tanzania, diplomasia yetu imekuwa na nguvu Sana wakati huu iliyopelekea kupata watalii na wawekezaji wengi Sana hapa nchini kutokana na ushawishi wa mh Rais wetu mpendwa kukubalika sana
 
Huna lolote mnatulisha maneno mnayolishwa na uvccm .
Dunia ya sasa uone haya kuleta uongo wa kitoto kama huu.

Maza yenu ameua kila kitu si uchumi wala ustawi bora wa jamii.
Hili ni gari bovu linatembea njia nzima bila uelekeo sahihi.
Bora Magufuli mara 90%

Miundombinu hola
Siasa na demokrasia hola
Uchumi hola
Kilimo na mbua inamkataa sijui ni gundu gani anayo
Kama hata kuandika kwako mwenyewe Ni shida itakuwa ngumu Sana kwako kuelewa mambo makubwa ambayo mpaka Dunia imeyatambua yanayotokana na juhudi za mh Rais wetu mpendwa katika kugusa maisha ya watanzania kuwainua kiuchumi
 
Nimefuatilia matangazo ya bbc kutoka London. Naona wanajitahidi kuwafanyia mahojiano viongozi wa kike akiwemo waziri mkuu wa Bangladesh na PM wa New zealand.

Ila sijaona mama yetu ambaye ni Rais kabisa akitafutwa na kuhojiwa. Isitoshe ameingia London mapema sana jana huku. Je huu sio upendeleo wa wazi? Kweli mawaziri wakuu ni muhimu kuliko Rais tena mwanamke?
Hao wawili ni maarufu zaidi kuliko SSH kwa hiyo hakuna cha upendeleo Wala nini na ikibidi wasimhoji kabisa Kwa sababu hakuna sababu ya msingi..
 
Kweli wewe bado Sana kujuwa ulimwengu huu, Hivi wewe unawezaje kuizungumzia Afrika kiukombozi bila Tanzania? Unawezaje kuizungumzia amani ya ukanda huu bila Tanzania? Nenda kawaulize hata wachina juu ya Tanzania uone namna watakavyoizungumza kwa mambo makubwa ya kidiplomasia yaliyofanywa na nchi yetu, hata hicho kiswahili kupata ushawishi Afrika na dunia kwa ujumla Ni ushawishi na nguvu za diplomasia ya Tanzania yetu Hii imara na kimbilio la wanyonge,

Unazani hata hao wakimbizi wakinyarwanda na kiburundi walifika hapa na kukaa kwa bahati mbaya? Tanzania Ni ziwa na bahari ya matumaini, utakufa na wivu wako,

Tanzania Ni imara Sana chini ya mh Rais wetu mpendwa mama Samia suluhu Hassani

Ukombozi gani boss, nani ana muda na hizo story zilipendwa? Kiswahili kina deal gani dunia hii boss. Hao viongozi wenyewe wanasomesha watoto wao kwenye shule za kiingereza, hakuna mwenye muda wa hizo shule za kiswahili. Kwa taarifa yako kiswahili ni lugha ya kupigia Majungu na kupotezeana ramani.

Hao wakimbizi wa kinyarwanda wako kila mahali Afrika mashariki hii, usidhani wako Tanzania tu. Wako hapa sio kwasababu ya ubora wa nchi yetu, bali ni sababu za kijiografia.

Tanzania sio imara, bali iko kama zilivyo nchi nyingine, kwahiyo haina muujiza wowote wa wewe kuipamba. Labda kwakuwa unalipwa kwa kupiga porojo hapa.
 
Nimefuatilia matangazo ya bbc kutoka London. Naona wanajitahidi kuwafanyia mahojiano viongozi wa kike akiwemo waziri mkuu wa Bangladesh na PM wa New zealand.

Ila sijaona mama yetu ambaye ni Rais kabisa akitafutwa na kuhojiwa. Isitoshe ameingia London mapema sana jana huku. Je huu sio upendeleo wa wazi? Kweli mawaziri wakuu ni muhimu kuliko Rais tena mwanamke?
Mh! Kichwa kinauma
 
Nimefuatilia matangazo ya bbc kutoka London. Naona wanajitahidi kuwafanyia mahojiano viongozi wa kike akiwemo waziri mkuu wa Bangladesh na PM wa New zealand.

Ila sijaona mama yetu ambaye ni Rais kabisa akitafutwa na kuhojiwa. Isitoshe ameingia London mapema sana jana huku. Je huu sio upendeleo wa wazi? Kweli mawaziri wakuu ni muhimu kuliko Rais tena mwanamke?
Acha kulalamika Ujinga
 
Nimefuatilia matangazo ya bbc kutoka London. Naona wanajitahidi kuwafanyia mahojiano viongozi wa kike akiwemo waziri mkuu wa Bangladesh na PM wa New zealand.

Ila sijaona mama yetu ambaye ni Rais kabisa akitafutwa na kuhojiwa. Isitoshe ameingia London mapema sana jana huku. Je huu sio upendeleo wa wazi? Kweli mawaziri wakuu ni muhimu kuliko Rais tena mwanamke?
Unadhani Kule kuna TBC, ambayo inafanya upendeleo, hadi inatia kichefuchefu?🥺
 
Back
Top Bottom