1.Mwanamke unapokutana na mwanamme na majibu yako yakawa hivi
mme--- Sister hujambo?.......majibu..sijajxxxxxba nikijxxxba nitakuambia
unaelekea wapi mrembo?......majibu....ukubwani
Unaitwa nani?...........majibu........sinajina
unakaa wapi?.........majibu........kwenye kiti
mbona majibu ya mkato mwenzangu? ......majibu...mwenzio unae kwenye chuxxxpx.....je huo ni ustaarabu?
2. Mwanamme ukijibiwa nyodo/utumbo kama huo unachukua hatua gani?
mme--- Sister hujambo?.......majibu..sijajxxxxxba nikijxxxba nitakuambia
unaelekea wapi mrembo?......majibu....ukubwani
Unaitwa nani?...........majibu........sinajina
unakaa wapi?.........majibu........kwenye kiti
mbona majibu ya mkato mwenzangu? ......majibu...mwenzio unae kwenye chuxxxpx.....je huo ni ustaarabu?
2. Mwanamme ukijibiwa nyodo/utumbo kama huo unachukua hatua gani?