Ryan The King
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 2,789
- 2,701
- Thread starter
-
- #81
wewe bwege nn jina langu limefuata nn hapo,halafu namba 3 ina kaukweli waongaji wakubwa ni majitu yasiyojua kutongoza..ingawa kumpa demu wako kias fln cha pesa ina raha yake hasa ukipata demu anayejielewa
B. Mkapa atakupa majibu. Subiri yupo humuLofa maana yake nn
Hata huyo rais Mkapa wako naye Mtanzania. Kwa hiyo na yeye lofa kwa msingi huo.Sante sana! Sante sana. Mkuu. Rais Mkapa hakuwa mbali na ukweli alipoita watanzania ni malofa
Huoni alikuwa anaita watu malofa alafu dakika chache anachanganyikiwa anaomba kura. Yaani nilikuwa nacheka sana.Hata huyo rais Mkapa wako naye Mtanzania. Kwa hiyo na yeye lofa kwa msingi huo.
Ni ulofa kushabikia mambo ambayo hayana faida zaidi ya kupoteza muda.Ni ulofa kushabikia mpira??????? Wanawake mkiona mwanaume hashabikii mpira huyo ana mapungufu
Hivi huoni taifa lipo ktk janga gani kwa sasa mkuu? Au n wewe tukuite mtu wa aina gan kwa ulichofanya iki kwenye post yako? .... Muwe mnafikiri n co kukurupuka tu kama ivi.... Macho, mackio n akili vyote vpo sheikh amri abeid.... Kuna hauna akili, na wengineo mtaoiona hii comment bs pingeni ... AlaaahKwa hisani ya kiumeni.
1. Tabia ya kuchukua namba watu humu ndani na baadae kuwasiliana kisha mkishindwana huko unakuja kumwaga umbea wako kama mwanamke wa kizaramo ni Ushamba na ulofa.
2. Kuweka Profile isiyo yako. Yaani kumweka mwanaume mwenzako au mwanamke mwenzako ni Ushamba na ulofa. Bora umuweke Mama, mke, mume au ndugu yako kuliko kuweka watu ambao hujawahi hata kuwaona ana Kwa ana na ukizingatia ni wazungu. Unamuweka mtu ambaye yeye akiambiwa akuweke kwenye Dp yake hatakuweka. Kama unatabia hii wee ni kichaa usiyejitambua.
3. Unahonga wanawake ambao na unajiona ni mwanaume. Wewe ni chizi uliyebakiza kuokota makopo. Ni Ushamba kuhonga mwanamke ambaye si Mke wako. Na hii hutokea Kwa wanaoanza mapenzi ukubwani.
4. Ni Ushamba kutongoza tongoza kila mwanamke unayemuona. Huu ni ulofa uliovuka mipaka. Wanaume wanaotongoza tongoza wanawake ovyo mara nyingi hawana nguvu za kiume.
5. Ni Ushamba na Ulofa kutamani kitu usiokuwa na uwezo kukipata. Yaani unakuta jitu linatamaa na vitu vikubwa wakati akili yake ndogo.
6. Ni Ulofa kushabikia mambo yasio na maana kama Mpira wa nje, Dini kutoka Ulaya na uarabuni. Ndio maana Afrika tunaitwa manyani.
7. Ni Ulofa na Ushamba Kutumia majina ya mataifa mengine kama Michael, Andrew, Janet, Sophia, Mwanaisha, Ashura n.k.
8. Ni Ulofa na Ushamba kutamani na kudharau kazi ya mtu mwingine ambaye humpi hata Mia kuendesha maisha Yake.
9. Ni Ulofa na Ushamba kumsikiliza mwanamke Kwa kila kitu. Labda uwe ndani ya jeneza.
Wakuendelea aendelee
Kwa hisani ya kiumeni
Naona umejiweka ID kabisa halafu ukitongoza ukakataliwa utalalamika umerogwa kumbe sababu hizi post zako za kilofaNi ulofa kushabikia mambo ambayo hayana faida zaidi ya kupoteza muda.
Huwezi elewa sasa hivi ila ipo siku utaelewa ulikuwa lofa na kichaa Kwa kushabikia mambo ambayo hayakuongezei hata dakika moja ya uzima
Una maana gani mkuu? Kwani taifa lipo kwenye nini?Hivi huoni taifa lipo ktk janga gani kwa sasa mkuu? Au n wewe tukuite mtu wa aina gan kwa ulichofanya iki kwenye post yako? .... Muwe mnafikiri n co kukurupuka tu kama ivi.... Macho, mackio n akili vyote vpo sheikh amri abeid.... Kuna hauna akili, na wengineo mtaoiona hii comment bs pingeni ... Alaaah
Naona umejiweka ID kabisa halafu ukitongoza ukakataliwa utalalamika umerogwa kumbe sababu hizi post zako za kilofa
Kati ya Watz wanne mmoja amewehuka
Nipo bongoland mkuu.We ni diaspora nn? Na ata kama.... Kwel ata media u dn vzt em!? Stop jokin
nipo,weekend wapiUpo mrembo
bora hata umemwambia maana sio kwa kutususa kuleKumbe ulikuwa unaanda hilo dongo?
Sahau hilo...twende kule kwa hadithi yetu maana si kwa ukimya huo