mkuu ,kitu ambacho naona wewe umepotoka kuhusu point yak ni kwamba hakuna kitu ambacho mtu (mwenye akili/mind) akikitaman anakikosa, mfano mm sijawah kosa kitu chochote ambacho nna desire nacho, persistence na faith alaf nikikose, yaan kitu sijui nyumba ,gar au ata dada ako au dem wak nikimtaka namtapa ili mrad izo factor apo juu zikiwa constant tu,sijui umenielewa