Huu ni uonevu wa aina gani!

pomo

JF-Expert Member
Jun 26, 2011
267
31
kuna jamaa angu m1 alikuwa anapiga deiwaka kwenye kampuni flan hivi kamuda kalipita, boss wake akawa anampango wa kumwajiri.
sasa jamaa akaambiwa apeleke picha 3 ili apate ajira ya moja kwa moja, basi jamaa akakusanya hizo picha 3 na zote akiwa amepiga sehem
tofauti tofauti.moja akiwa beach anaogelea, nyingine akiwa uwanjani anacheki gemu na nyingine yupo kwenye daladala kama konda
vile huku anakusanya nauli.
basi yule boss akadhani jamaa analeta utani,basi maamuzi aliochukua ni kumtimua hata huo udeiwaka.

jamaa kumbe alikuwa hajaelewa hakufikiria kabisa kuhusu pasport size ndo zinaitwa picha.
 
Da!!! matumizi ya lugha ndiyo yanatupa shida hata kama wewe, " picha na passport" differentiate these
 
kuna jamaa angu m1 alikuwa anapiga deiwaka kwenye kampuni flan hivi kamuda kalipita, boss wake akawa anampango wa kumwajiri.
sasa jamaa akaambiwa apeleke picha 3 ili apate ajira ya moja kwa moja, basi jamaa akakusanya hizo picha 3 na zote akiwa amepiga sehem
tofauti tofauti.moja akiwa beach anaogelea, nyingine akiwa uwanjani anacheki gemu na nyingine yupo kwenye daladala kama konda
vile huku anakusanya nauli.
basi yule boss akadhani jamaa analeta utani,basi maamuzi aliochukua ni kumtimua hata huo udeiwaka.

jamaa kumbe alikuwa hajaelewa hakufikiria kabisa kuhusu pasport size ndo zinaitwa picha.
Sasa atakuwa amejifunza baada ya kukosa kibarua, next time hatarudia hilo kosa.
 
Back
Top Bottom