Nimefuatilia kwa karibu sana mchakato na fukuto lililopo nchini hivi sasa na kugusa hisia za karibu kila mtanzania mpenda maendeleo na demokrasia..nikiwa kama mdau mkubwa tu katika maendeleo ya kitaifa nimefanikiwa kufanya mahojiano kibao tu...safi sana..lakini nikirejea hili kongamano la leo la wasomi,wataalamu,wanasiasa na watunga sera nimebaini mambo makuu matatu...
moja,hakuna hata mmoja kati ya walioshiriki amebainisha kwa ufasaha je,twahitaji katiba mpya au tuweke viraka katika hii iliyopo sasa ya mwaka 1977 ambayo imepitia ammendments kibao??
pili,richa ya kutoa kasoro chache katika hii iliyopo hawakuweza kubainsha mwarobaini wa kasoro hizo..na tatu,bado watu wengi na hasa wanasiasa hata wastaafu wa siasa wanatumia mijadala na mada za kitaifa kama hizi kutafuta public notification na kutafuta fursa za kufikia malengo yao...
na mwisho maslahi binafsi yamewekwa mbele kwa mfano baadhi yao wanaingiza masuala ya richmond,epa,iptl na masuala ya jeshi la polisi na mihimili mitatu ya dola kana kwamba mwanakijiji wa huko matombo anayajua hayo....na pendekezo langu badala ya kuanza kujadili sijui watu wa kuwateua kuchakachua katiba wakiwemo wataalamu,bora twende vijijni na ikiwezekana hata shule za msingi,sehemu za kuabudia,masokoni na kila sehemu tuhakikishe kila mtanzania anaifahamu kwa kina katiba ya SASA....NAWASILISHA
moja,hakuna hata mmoja kati ya walioshiriki amebainisha kwa ufasaha je,twahitaji katiba mpya au tuweke viraka katika hii iliyopo sasa ya mwaka 1977 ambayo imepitia ammendments kibao??
pili,richa ya kutoa kasoro chache katika hii iliyopo hawakuweza kubainsha mwarobaini wa kasoro hizo..na tatu,bado watu wengi na hasa wanasiasa hata wastaafu wa siasa wanatumia mijadala na mada za kitaifa kama hizi kutafuta public notification na kutafuta fursa za kufikia malengo yao...
na mwisho maslahi binafsi yamewekwa mbele kwa mfano baadhi yao wanaingiza masuala ya richmond,epa,iptl na masuala ya jeshi la polisi na mihimili mitatu ya dola kana kwamba mwanakijiji wa huko matombo anayajua hayo....na pendekezo langu badala ya kuanza kujadili sijui watu wa kuwateua kuchakachua katiba wakiwemo wataalamu,bora twende vijijni na ikiwezekana hata shule za msingi,sehemu za kuabudia,masokoni na kila sehemu tuhakikishe kila mtanzania anaifahamu kwa kina katiba ya SASA....NAWASILISHA