St Lunatics
JF-Expert Member
- Aug 29, 2015
- 6,644
- 11,195
Mwanaume lazima awe na swagger hizo siku ukimuomba hela anakutumia ujumbe unasema- oxwo ukimuuliza maana yake nini halafu anazima na simu.Sio uchoyo. Ambae ana swaga hizo kwangu atakuwa serengeti boy.

