ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 52,603
- 119,759
xaxa sio kifupi, ni swaga za ujana tu. Mimi nimeongelea ufupishaji wa maneno marefu.xaxa ni kifupi cha nini?
xaxa sio kifupi, ni swaga za ujana tu. Mimi nimeongelea ufupishaji wa maneno marefu.xaxa ni kifupi cha nini?
Qwan vepe?? Xaxa xi uwe fri kuxhea nae idea 2!!Mtu kama huyo inatia uvivu kuchat nae
xio frexh uxiw mvivu
Hata sijaelewaQwan vepe?? Xaxa xi uwe fri kuxhea nae idea 2!!![]()
xio frexh uxiw mvivu
Kuandika xaxa badala ya sasa utakuwa umefupisha nini?Watu wavivu kuandika muda mrefu kwa hiyo ndio maana wanafupisha ili kurahisisha..
Daah..Mkuu we unaonekana mzoefuQwan vepe?? Xaxa xi uwe fri kuxhea nae idea 2!!![]()
xio frexh uxiw mvivu
Kwahiyo unataka kusema neno 'vipi' ni refu kuliko 'vepee'? Au 'xaxa' ni ndefu kuliko kuandika 'sasa'?Watu wavivu kuandika muda mrefu kwa hiyo ndio maana wanafupisha ili kurahisisha..
Anasema anakupendaHata sijaelewa
Umetisha! ha ha haaaaa nimecheka kama mwehu..Qwan vepe?? Xaxa xi uwe fri kuxhea nae idea 2!!![]()
xio frexh uxiw mvivu
Ukiachia hizo..Mi uwa inanisumbua sana mwanaume kumwita mwanaume mwenzake WANGUKuna watu wanafedhehesha sana, tena wengine wakiwa ni watu wazima waliofika miaka 40 au zaidi huku wakiwa wanaandika hovyo wakati wa kutuma ujumbe hasa WhatsApp au hata sms za kawaida.
Mtu mzima unamtumia mwanaume mwenzako sms eti inasema "oi, xafi, vepee, xhwari nk! Hivi watu huwa hamuoni kama ni upuuzi huo? Tena mnatuma hata kwa mtu mwenye heshima zake, si atajihisi umemuona ni wa aina yako? Hivi sijui ni kwanini kuna watu hawajishtukii hata ukipotezea jumbe zao!
Kwa kweli kama bado unaandika kipumbavu hivyo ni bora ukaacha tu, na wale mnaokereka na watu wa aina hiyo ni vema mkapotezea mawasiliano yao kama hamuwezi kuwapa cha mbavu ili wajue wewe sio mpuuzi kama wao.
nikiona hivyo huwa sijibuUkiachia hizo..Mi uwa inanisumbua sana mwanaume kumwita mwanaume mwenzake WANGU
Mwambie asanteAnasema anakupenda
Kwani vipi? Sasa si uwe free kushea nae wazo tu. Sio fresh usiwe mvivu kusomaHata sijaelewa

Sio hvo 'xaxa' ni mbwembwe/njonjo za vijana wa kileo.. Baadhi ya maneno wanayofupisha ni K-ok...P-poa.... Lkn-Lakini... Miss You - Mic u....Oyaaa- oi Niaje-aje...na kadhalika WANACHOFANYA NI KUDONDOSHA BAADHI YA VITAMKWA ILI KUPATA NENO FUPI ZAIDIKuandika xaxa badala ya sasa utakuwa umefupisha nini?
Daah..Mkuu we unaonekana mzoefu
Aaah wap mkuu mbwembwe tu hizi nazoziona kwa vijana..wala hata sijabobea hukoWayiiiKwani vipi? Sasa si uwe free kushea nae wazo tu. Sio fresh usiwe mvivu kusoma![]()