Kimsing vipi huwa wanaweka 'vp'...hiyoo vepee ni namna nyingine ya kulitamka neno 'vipi'...Sasa hufupisha na kuwa ss/sas/ssa..Kwahiyo unataka kusema neno 'vipi' ni refu kuliko 'vepee'? Au 'xaxa' ni ndefu kuliko kuandika 'sasa'?
Mkuu ulishawahi kuona mchaga mbaya? Kaskazini zone hiyoHiv miss, chaga ni mzuri km jina lake na waridi pembeni au ,,,,,,
Mwambie asante

Teh teh..Kasema ahsante..
fanyeni hivyo na watoto wenzenu wa shuleWatu wavivu kuandika muda mrefu kwa hiyo ndio maana wanafupisha ili kurahisisha..
Kwa hiyo hata kama ni tatizo la ghafla la dharura mtu amekutumia jumbe za namna hii hutojibu?? Lakini tukirudi kwenye uhalisia umemuelewa..Wayiii
Mmmmhhhh.........hapo patakuw na jambo linaendeleaUkiachia hizo..Mi uwa inanisumbua sana mwanaume kumwita mwanaume mwenzake WANGU
Waache waendelee...lakini inahitaji uvumilivu na umakini mtu anayependa kuandika vifupishofanyeni hivyo na watoto wenzenu wa shule
Tatty usiwe mchoyoAlikuja mtu kama huyo pm. Sikuweza hata kumjibu.
Sio uchoyo. Ambae ana swaga hizo kwangu atakuwa serengeti boy.Tatty usiwe mchoyo