Huu ni ulimbukeni au ndio ustaa?

Nicknametzee

New Member
Jun 5, 2016
2
1
1465650052742.jpg


Wanajamvi naomba tusaidiane hapa maana labda umaskini wangu ndo unafanya nishangae
 
Ndio maana vijijini wanarogana Kisa mtu kajenga nyumba ya Bati.. Itakuwa umasikini au Pepo wachafu..
 
Sasa kosa lake ni nin hapo!? Kwa wanaomkandia..

Kwa swali lako wewe jibu ni "huo ni ustaa"
 
Back
Top Bottom