jay moseif
Member
- May 4, 2020
- 7
- 4
Habari wanajamvi, nimekuja mbele yenu mm ni kijana wa miaka 25, lengo la kuamdika uzi huu ni kuomba ushauri juu ya biashara yangu.
Mimi ni fundi kuchomea lakini pia nimejiongeza kwa kujifunza ufundi sofa. Lakini biashara yangu haitembei kabisa labda wenye uzoefu na mambo haya wanipe ushauri. Maana biashara haitembei kabisa unafanya kazi zikizkata najikuta natumia hadi akiba. Kazi zikija yani mzunguko unakuwa huo. Naombeni ushauri.
Nawasilisha
Mimi ni fundi kuchomea lakini pia nimejiongeza kwa kujifunza ufundi sofa. Lakini biashara yangu haitembei kabisa labda wenye uzoefu na mambo haya wanipe ushauri. Maana biashara haitembei kabisa unafanya kazi zikizkata najikuta natumia hadi akiba. Kazi zikija yani mzunguko unakuwa huo. Naombeni ushauri.
Nawasilisha