Huu ni ukweli kuhusu samaki aitwaye chunusi

Huu ni ukweli kuhusu samaki aitwaye chunusi

Haya mambo ya chunusi yanatisha sana. Eti hata kwenye swimming pool wapo!
 
Kuna Mkurugenzi wa TAA alifariki akiogelea kati ya ng'ambo hii na Kigamboni. Sasa naanza kuhisi huenda alipigwa shoti na Chunusi!
 
Kuna kaumbali kadogo ukiwa ndani ya maji unaona minaz au nchi kavu ni mbali na minaz inapotea flan hv, mimi sio muogeleaji lakin it makes sence kwakuwa ukiwa katika sea level ni rahisi kuona effect ya dunia mzunguko ko unajiona uko mbali sana kuriko jinsi watu wa nchi kavu wanavyokuona
Ndo maana we wa nchi kavu kuona base ya zile meli zilizotia nanga ni ngum, maana inakuwa isha hasiriwa na mzunguko wa dunia


Sent from my iPhone using JamiiForums
Mzunguko wa dunia huwezi kukuathiri kwasababu ya kuwa ndani ya maji baharini kinachoathiri ni mawimbi na mtikisiko wa maji
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom