Huu ni ukweli kuhusu samaki aitwaye chunusi

Huu ni ukweli kuhusu samaki aitwaye chunusi

Usibishe’ kuna watu wanaogelea wanavuka kutoka kawe kwenda coco beach kwa kuogelea tu
Ukiwa kawe unaiona Msasani na upande wa pili wa Msasani ndiyo ipo Oysterbay beach, hivyo huo siyo umbali mrefu. Minazi ina urefu wa mita 30, sasa kuipoteza machoni urefu huo ni zaidi ya umbali kutoka Bagamoyo hadi Zanzibar.
 
Kwani hao wanapatikana Ziwa Victoria pia maana story za chunusi ukanda huo zilikuwepo sana na wengi tuliamini ni majini. Hebu fafanua zaidi
 
Asante, nimejifunza kitu
Hiloooo,limedanganywa!
Screenshot_20200113-110221-picsay.jpeg
 
Huyu samaki kwenye ngozi yake kuna celi zilizokaa mangilio wa hasi na chanya hivyo kadiri anavyotembea kwenye maji msuguano baina ya maji na mwili wake hupelekea kuwa chargeed
 
Mkuu, hii ni chai. Uogelee kavu mpaka minazi ipotee? Wewe Zanzibar unaenda kwa miguu bila shaka.

Sent using Jamii Forums mobile app

Kuna kaumbali kadogo ukiwa ndani ya maji unaona minaz au nchi kavu ni mbali na minaz inapotea flan hv, mimi sio muogeleaji lakin it makes sence kwakuwa ukiwa katika sea level ni rahisi kuona effect ya dunia mzunguko ko unajiona uko mbali sana kuriko jinsi watu wa nchi kavu wanavyokuona
Ndo maana we wa nchi kavu kuona base ya zile meli zilizotia nanga ni ngum, maana inakuwa isha hasiriwa na mzunguko wa dunia


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Huyo sijui ni samaki ama kitu gani ila yupo mfano wa huyo nilimuona ufukwe wa mbezi aliingia katika wavu wavuvi wote watoka nje ya wavu sasa sikuelewa kwanini kilinuka baharini, wakasema kuna samaki yupo ndani ya nyavu sio ni muuaji yaani huyo akikugusa tu kwanza lazma uzame na ukiibuka ushadedi.

Kingine nilichoshuhudia walifanikiwa kuzivuta zile nyav mpaka ufukweni na nilimuona samaki kama huyo apo, sasa haikupita dakika tatu akaanza kubadilika akawa mweusi kama mkaa ndio jamaa wakasema huyo samaki ana umeme akiwa ndani ya maji na ana sumu mbaya sana kinachombadilisha hapo na kumuua ni sumu yake mwenyewe.

Tangu ile siku nikapunguza kuogelea maji marefu maana nilikuwa na udwanzi fulani sio yaan naenda mbali kiasi mpaka ile minazi ufukweni inanipotea machoni nazuga zuga hukoo kisha narudi mdogo mdogo (kuna samaki flani wanapenda kucheza wanakuja wengi alafu wakikukaribia wanatawanyika kule katika maji mengi yanakuwa kama kioo unaona vizuri tu ndani ya maji, lakini tangu nimuone yule samaki aisee niliingiwa na uoga naogelea kwenye mchanga maji ya ugoko.

Wanaoignore uwezo wako wa kuogelea nahisi exposure yao ya kuogelea ni ndogo. Binadamu aliyekulia kwenye shughuli za uvuvi kuanzia mdogo, plus akawa na kipaji cha kuogelea, siku ukimuona anaogelea unaweza hisi amezaliwa na samaki.

Under zero anxiety (siyo ktk harakati za kujiokoa na hatari) jamaa wanaogelea umbali mrefu sana. Kwanza they tell hawapati tatizo la kuishiwa pumzi, muscles zipo oxygenated muda wote.

Ni hadi mtu ushuhudie umbali wanaoweza kuogelea ndo unaweza kuamini.
 
Huyo sijui ni samaki ama kitu gani ila yupo mfano wa huyo nilimuona ufukwe wa mbezi aliingia katika wavu wavuvi wote watoka nje ya wavu sasa sikuelewa kwanini kilinuka baharini, wakasema kuna samaki yupo ndani ya nyavu sio ni muuaji yaani huyo akikugusa tu kwanza lazma uzame na ukiibuka ushadedi.

Kingine nilichoshuhudia walifanikiwa kuzivuta zile nyav mpaka ufukweni na nilimuona samaki kama huyo apo, sasa haikupita dakika tatu akaanza kubadilika akawa mweusi kama mkaa ndio jamaa wakasema huyo samaki ana umeme akiwa ndani ya maji na ana sumu mbaya sana kinachombadilisha hapo na kumuua ni sumu yake mwenyewe.

Tangu ile siku nikapunguza kuogelea maji marefu maana nilikuwa na udwanzi fulani sio yaan naenda mbali kiasi mpaka ile minazi ufukweni inanipotea machoni nazuga zuga hukoo kisha narudi mdogo mdogo (kuna samaki flani wanapenda kucheza wanakuja wengi alafu wakikukaribia wanatawanyika kule katika maji mengi yanakuwa kama kioo unaona vizuri tu ndani ya maji, lakini tangu nimuone yule samaki aisee niliingiwa na uoga naogelea kwenye mchanga maji ya ugoko.
hahahhhhh
 
Aisee, unahatari sana wewe, umbali huo ni sawa na km 19 kutoka ufukweni. Kweli ulienda kote huko kwa kuogelea?
Kuna uwezekano mkubwa hao samaki wadogo waliokuzunguka walikuja kukulinda na hatari ambayo wewe hukuiona.

Dolphin ndo wana hiyo michezo ya kumzunhuka binadam kukiwa na hatar karibu, hasa papa


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Ukiwa kawe unaiona Msasani na upande wa pili wa Msasani ndiyo ipo Oysterbay beach, hivyo huo siyo umbali mrefu. Minazi ina urefu wa mita 30, sasa kuipoteza machoni urefu huo ni zaidi ya umbali kutoka Bagamoyo hadi Zanzibar.

Hii unaongelea from yur high point of view, ukiwa katika sea level mambo yanabadirika
Af muongeaji hamaanishi kupotea kama kupotea unayoijua ww, itakuwa anamaanisha minaz inaonekana ni mbali kias kwamba ni kama iko dunia nyingine


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
duu umenikumbusha mbali sana masuala ya kina kirefu. Nakumbuka enzi hizo mambo ya ushabiki tukienda kuogelea basi kila mtu anataka kumzidi mwenzake aonekane fundi, daah kuna siku tulipiga ruti mpaka ufukwe tukawa tunauona kwa tochi kina cha kufa mtu maji yametulia balaaa alafu ngoma ya baridi kishenzi vile vimawimbi uchwala tumeviacha nyuma huko, tunaambiana oya nani aende chini kupima kima kila mtu anagoma. Mara paaaa si vikatokea viputo daah vile viumbe acha kabisa , alafu ukicheki wote tupo vitumbo wazi tuna bukta tu daah yani hadi leo naogelea maji ya ugoko kama wewe
Huyo sijui ni samaki ama kitu gani ila yupo mfano wa huyo nilimuona ufukwe wa mbezi aliingia katika wavu wavuvi wote watoka nje ya wavu sasa sikuelewa kwanini kilinuka baharini, wakasema kuna samaki yupo ndani ya nyavu sio ni muuaji yaani huyo akikugusa tu kwanza lazma uzame na ukiibuka ushadedi.

Kingine nilichoshuhudia walifanikiwa kuzivuta zile nyav mpaka ufukweni na nilimuona samaki kama huyo apo, sasa haikupita dakika tatu akaanza kubadilika akawa mweusi kama mkaa ndio jamaa wakasema huyo samaki ana umeme akiwa ndani ya maji na ana sumu mbaya sana kinachombadilisha hapo na kumuua ni sumu yake mwenyewe.

Tangu ile siku nikapunguza kuogelea maji marefu maana nilikuwa na udwanzi fulani sio yaan naenda mbali kiasi mpaka ile minazi ufukweni inanipotea machoni nazuga zuga hukoo kisha narudi mdogo mdogo (kuna samaki flani wanapenda kucheza wanakuja wengi alafu wakikukaribia wanatawanyika kule katika maji mengi yanakuwa kama kioo unaona vizuri tu ndani ya maji, lakini tangu nimuone yule samaki aisee niliingiwa na uoga naogelea kwenye mchanga maji ya ugoko.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyo sijui ni samaki ama kitu gani ila yupo mfano wa huyo nilimuona ufukwe wa mbezi aliingia katika wavu wavuvi wote watoka nje ya wavu sasa sikuelewa kwanini kilinuka baharini, wakasema kuna samaki yupo ndani ya nyavu sio ni muuaji yaani huyo akikugusa tu kwanza lazma uzame na ukiibuka ushadedi.

Kingine nilichoshuhudia walifanikiwa kuzivuta zile nyav mpaka ufukweni na nilimuona samaki kama huyo apo, sasa haikupita dakika tatu akaanza kubadilika akawa mweusi kama mkaa ndio jamaa wakasema huyo samaki ana umeme akiwa ndani ya maji na ana sumu mbaya sana kinachombadilisha hapo na kumuua ni sumu yake mwenyewe.

Tangu ile siku nikapunguza kuogelea maji marefu maana nilikuwa na udwanzi fulani sio yaan naenda mbali kiasi mpaka ile minazi ufukweni inanipotea machoni nazuga zuga hukoo kisha narudi mdogo mdogo (kuna samaki flani wanapenda kucheza wanakuja wengi alafu wakikukaribia wanatawanyika kule katika maji mengi yanakuwa kama kioo unaona vizuri tu ndani ya maji, lakini tangu nimuone yule samaki aisee niliingiwa na uoga naogelea kwenye mchanga maji ya ugoko.
Samaki huyu ni hatari sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
duu umenikumbusha mbali sana masuala ya kina kirefu. Nakumbuka enzi hizo mambo ya ushabiki tukienda kuogelea basi kila mtu anataka kumzidi mwenzake aonekane fundi, daah kuna siku tulipiga ruti mpaka ufukwe tukawa tunauona kwa tochi kina cha kufa mtu maji yametulia balaaa alafu ngoma ya baridi kishenzi vile vimawimbi uchwala tumeviacha nyuma huko, tunaambiana oya nani aende chini kupima kima kila mtu anagoma. Mara paaaa si vikatokea viputo , alafu ukicheki wote tupo vitumbo wazi tuna bukta tu daah yani hadi leo naogelea maji ya ugoko kama wewe

Sent using Jamii Forums mobile app

Sijaelewa viputo vya nn
Mtu alizama, au viputo vya ishara ya kiumbe chini


Sent from my iPhone using JamiiForums
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom