wadudu flani hv wana vimikia wazee wa maji wanavipataSijaelewa viputo vya nn
Mtu alizama, au viputo vya ishara ya kiumbe chini
Sent from my iPhone using JamiiForums
wadudu flani hv wana vimikia wazee wa maji wanavipataSijaelewa viputo vya nn
Mtu alizama, au viputo vya ishara ya kiumbe chini
Sent from my iPhone using JamiiForums
Shukrani MkuuMkunga ni mwingine kabisa.
"Ruzige"
Sujui wanashangaa nin, akat niko namiaka 11 nilkua naogelea umbali wakutoka magomeni mpaka kariakoo nahaikua story yakusismua kabisaWanaoignore uwezo wako wa kuogelea nahisi exposure yao ya kuogelea ni ndogo. Binadamu aliyekulia kwenye shughuli za uvuvi kuanzia mdogo, plus akawa na kipaji cha kuogelea, siku ukimuona anaogelea unaweza hisi amezaliwa na samaki.
Under zero anxiety (siyo ktk harakati za kujiokoa na hatari) jamaa wanaogelea umbali mrefu sana. Kwanza they tell hawapati tatizo la kuishiwa pumzi, muscles zipo oxygenated muda wote.
Ni hadi mtu ushuhudie umbali wanaoweza kuogelea ndo unaweza kuamini.
Hiyo ni static electricity na siyo current electricity kama ya majumbani.Iko kiwango cha umeme hakuna jinsi yoyote tunaweza kuki-extract tukatengeza umeme wa majumbani?
Una hatari wwHuyo sijui ni samaki ama kitu gani ila yupo mfano wa huyo nilimuona ufukwe wa mbezi aliingia katika wavu wavuvi wote watoka nje ya wavu sasa sikuelewa kwanini kilinuka baharini, wakasema kuna samaki yupo ndani ya nyavu sio ni muuaji yaani huyo akikugusa tu kwanza lazma uzame na ukiibuka ushadedi.
Kingine nilichoshuhudia walifanikiwa kuzivuta zile nyav mpaka ufukweni na nilimuona samaki kama huyo apo, sasa haikupita dakika tatu akaanza kubadilika akawa mweusi kama mkaa ndio jamaa wakasema huyo samaki ana umeme akiwa ndani ya maji na ana sumu mbaya sana kinachombadilisha hapo na kumuua ni sumu yake mwenyewe.
Tangu ile siku nikapunguza kuogelea maji marefu maana nilikuwa na udwanzi fulani sio yaan naenda mbali kiasi mpaka ile minazi ufukweni inanipotea machoni nazuga zuga hukoo kisha narudi mdogo mdogo (kuna samaki flani wanapenda kucheza wanakuja wengi alafu wakikukaribia wanatawanyika kule katika maji mengi yanakuwa kama kioo unaona vizuri tu ndani ya maji, lakini tangu nimuone yule samaki aisee niliingiwa na uoga naogelea kwenye mchanga maji ya ugoko.
Kutokana na curvature ya earth kwenda majini umbali wa km 20 kutoka ufukweni ni sawa na fukwe kuzama kimo cha mita 31.Hii unaongelea from yur high point of view, ukiwa katika sea level mambo yanabadirika
Af muongeaji hamaanishi kupotea kama kupotea unayoijua ww, itakuwa anamaanisha minaz inaonekana ni mbali kias kwamba ni kama iko dunia nyingine
Siyo dolphin pekee, wapo pia samaki wadogo wadogo wanapomwona binadamu kwenye hatari ya papa huwa wanamzunguka (bait ball) ili kumzuga papa.Dolphin ndo wana hiyo michezo ya kumzunhuka binadam kukiwa na hatar karibu, hasa papa
Una hoja nzuri sana!!Kuna kaumbali kadogo ukiwa ndani ya maji unaona minaz au nchi kavu ni mbali na minaz inapotea flan hv, mimi sio muogeleaji lakin it makes sence kwakuwa ukiwa katika sea level ni rahisi kuona effect ya dunia mzunguko ko unajiona uko mbali sana kuriko jinsi watu wa nchi kavu wanavyokuona
Ndo maana we wa nchi kavu kuona base ya zile meli zilizotia nanga ni ngum, maana inakuwa isha hasiriwa na mzunguko wa dunia
Sent from my iPhone using JamiiForums
Halafu mwambie akai bahariniMkuu, hii ni chai. Uogelee kavu mpaka minazi ipotee? Wewe Zanzibar unaenda kwa miguu bila shaka.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji16][emoji16]Asante .Sasa mkuu kuna haja gani ya kumalizia Ruzige wakati Id yako inayo hilo jina
Pamoja mkuu[emoji16][emoji16]Asante .
Ushauri umezingatiwa tayari
Hiloooo,limedanganywa! View attachment 1321441
Wanasema kama ana afya anaweza kusurvice shoti ya huyo samaki. Ila wengi wakipigwa shoti ya hizo volt 800 basi either respiratory system huwa inashindwa kufanya kazi au moyo huwa unasimama. Na hapo ndio wengi huaga dunia...Chunusi ni Chunusi na Samaki ni Samaki. Tuheshimiane jamani hakuna mtoto humu!
Watu wamekufa maji ya ugoko mnasema samaki?