Acha utani mkuu!!hiyo ni tiba wakuu wala hawezi kufa,kama unabisha katazame kuku na kifaranga.
Acha utani mkuu!!
halafu kuna mtu alikuwa ameiweka kama avatar yake juzi kati, nikamuomba aitoe, simkumbuki ni nani!!
Acha utani mkuu!!
halafu kuna mtu alikuwa ameiweka kama avatar yake juzi kati, nikamuomba aitoe, simkumbuki ni nani!!
Mkuu mbona unaniharibia thread niliyoianzisha?hii ndiyo sababu kubwa iliyonifanya niachane na chadema na siasa walau kwa muda.
siku ya jumatatu tarehe 3/10/2011 baada ya kuwa na matokeo ya awali ya uchaguzi mdogo wa igunga, marehemu masoud wakati huo akiwa hai, alianza kulalamika ya kuwa baadhi ya viongozi wa chadema wakiwemo wa ngazi za juu wanamtuhumu kukihujumu chama hicho kwenye uchaguzi huo ambao yeye alikuwa mmoja wa mawakala.
Wakati tuko nae akaja katibu wa kilimanjaro bazil lema huku akilalamika ya kuwa chama kimehujumiwa na kisha akamnong'oneza marehemu masoud kabla ya kuondoka nae. Masoud hatukumuona tena mpaka tulipopata taarifa za mwili wake kuonekana porini.
Jamani uamuzi ni wenu.
Hey samahan ivi kwer iyo mambo coz n ukatil mkubwa sn uwo na naomba kujua ukumu yake uyo mjamaa
Wewe ni kipofu nini? Hapa tunaongelea ukatili wewe unaleta ushabiki wa kisiasa. Kama usemayo ni kweli ulichukua hatua gani kabla na baada ya kuthibitisha kifo cha huyo Masoud?hii ndiyo sababu kubwa iliyonifanya niachane na chadema na siasa walau kwa muda.
siku ya jumatatu tarehe 3/10/2011 baada ya kuwa na matokeo ya awali ya uchaguzi mdogo wa igunga, marehemu masoud wakati huo akiwa hai, alianza kulalamika ya kuwa baadhi ya viongozi wa chadema wakiwemo wa ngazi za juu wanamtuhumu kukihujumu chama hicho kwenye uchaguzi huo ambao yeye alikuwa mmoja wa mawakala.
Wakati tuko nae akaja katibu wa kilimanjaro bazil lema huku akilalamika ya kuwa chama kimehujumiwa na kisha akamnong'oneza marehemu masoud kabla ya kuondoka nae. Masoud hatukumuona tena mpaka tulipopata taarifa za mwili wake kuonekana porini.
Jamani uamuzi ni wenu.