GwaB
JF-Expert Member
- Mar 19, 2014
- 3,580
- 4,638
Dar es salaam hakuna umeme maeneo ya Chanika tangu jana na leo siku nzima hakukuwepo umeme hadi hivi niandikapo.
Je, ni halali Tanesco kupokea pesa kutoka kwa wateja wake halafu wagome kutoa huduma?
Je, kama Kuna matatizo ya kiufundi hivi si busara kuwataarifu wateja wanaotegemea umeme wa Tanesco kuendesha biashara zao juu ya katizo la umeme?
Je, tujipange sasa kutegemea umeme wa gesi kama alivyolisha matango pori na Waziri wa nishati?
Du ... Maswali ni mengi tu, Ila giza totoro kama enzi za ujima wakati Chief Hangaya akiendelea kupinga mwingi.
Je, ni halali Tanesco kupokea pesa kutoka kwa wateja wake halafu wagome kutoa huduma?
Je, kama Kuna matatizo ya kiufundi hivi si busara kuwataarifu wateja wanaotegemea umeme wa Tanesco kuendesha biashara zao juu ya katizo la umeme?
Je, tujipange sasa kutegemea umeme wa gesi kama alivyolisha matango pori na Waziri wa nishati?
Du ... Maswali ni mengi tu, Ila giza totoro kama enzi za ujima wakati Chief Hangaya akiendelea kupinga mwingi.