Mookiesbad98
JF-Expert Member
- Feb 1, 2015
- 2,300
- 2,716
Wizara tuache unafiki waziri Sospeter Muhongo akisimamiwa vizuri( Sijui kama Mkuu anaweza lakini kwa jinsi watendaji wanvyo potray sasa hivi)
Huyu msomi wa masuala haya ya energy angetufaa sana hata presentation zake za umeme na vyanzo mbadala tungefaidika nae sema Siasa ina ladha yake ya ubabaishaji.
Mrudisheni Prof Muhongo yuko well planned and result oriented.
Huyu msomi wa masuala haya ya energy angetufaa sana hata presentation zake za umeme na vyanzo mbadala tungefaidika nae sema Siasa ina ladha yake ya ubabaishaji.
Mrudisheni Prof Muhongo yuko well planned and result oriented.