live on
JF-Expert Member
- Dec 30, 2018
- 792
- 1,268
Ukweli ni kwamba viongozi tulionao wanashindwa kuisimamia Tanesco matokeo yake Tanesco wanafanya wanachojisikia.
Ni wiki Sasa Kila ikifika saa 1 jioni huku Chamazi umeme unakatwa maana yake ni kwamba mgao unaendelea bila ya taarifa yoyote ya maana
Nimechukia sana Leo nakaa sebuleni kwangu niangalie mpira umeme unakatika
Au Kuna kitu labda Mimi sielewi.
Maana kipindi Cha Makamba tuliambiwa mgao ni Kwa sababu ya service ya mitambo ambayo Magufuli alikuwa analazimisha ifanye kazi bila ya kupumzika
Biteko nae akasema mgao ni Kwa sababu mabwawa yamekauka
Sasa hu mgao unaoendelea Sasa ni wa nini maana najua Sasa mabwawa yote yamesha jaa
Hi nchi ngumu sana
R,I P Magufuli
Ni wiki Sasa Kila ikifika saa 1 jioni huku Chamazi umeme unakatwa maana yake ni kwamba mgao unaendelea bila ya taarifa yoyote ya maana
Nimechukia sana Leo nakaa sebuleni kwangu niangalie mpira umeme unakatika
Au Kuna kitu labda Mimi sielewi.
Maana kipindi Cha Makamba tuliambiwa mgao ni Kwa sababu ya service ya mitambo ambayo Magufuli alikuwa analazimisha ifanye kazi bila ya kupumzika
Biteko nae akasema mgao ni Kwa sababu mabwawa yamekauka
Sasa hu mgao unaoendelea Sasa ni wa nini maana najua Sasa mabwawa yote yamesha jaa
Hi nchi ngumu sana
R,I P Magufuli