Mulhat Mpunga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 27,650
- 16,722
Dah! Nimecheka mpaka machozi yametoka "suruwali ya
ally keisy!!!!??"
endelea mkuu si unaona keissy hapa kwani unadhani namsingizia basi hahaha umenichekesha zaidi uwii
Dah! Nimecheka mpaka machozi yametoka "suruwali ya
ally keisy!!!!??"
Inabidi nihamie huko ili niwe navuta hadi tani yanguFegi wapi,kule ndum ruksa.
Ni designer wa nguo.huyo simjui embu weka picha yake
mbona kama anavaa vizuriNi designer wa nguo.
Atadunguliwa na La ndege mkuu yy na mashoga zake na mchepuko wake.Huyu akicheat bomu la nyukilia linatua kifuani pake
Duu,, haya bana mi nilielewa vibaya sory lakiniMkuu hiyo ni sifa
Avatar yako si mchezo,mashalahWanawake wa kikorea huwa ni wazuri sana usoni na miguu ila akigeuka nyuma unaweza kukimbia. Kitu flat screen kabisa tena ile ya samsung ultra slim
Le mutuzha ahaha ila jamaa manguo yake makubwa
ha ha haLe mutuz
Ukikamatwa umevaa modo utapigwa kwa kombora la LPG lile la kudungulia ndegeNaona Korea hawavai modo
Sio kweliNikweli ex wake alimnyonga alikuwa mzuri sana
kwahiyo wanaundugu na wachagaWanawake wa kikorea huwa ni wazuri sana usoni na miguu ila akigeuka nyuma unaweza kukimbia. Kitu flat screen kabisa tena ile ya samsung ultra slim
ulitaka awe mbulula kama wewe.cop to paste.kutoka magharibiiyo suruali. uwiii full Ac utadhani kapewa