Hata mjeda aliyepo nyuma yake naye katinga design hiyo hiyo.Huyu mtu kenge wa kisawa sawa.Anachange sekunde yoyote ile.Mtiti wake Trump ni chekechea.Mbona jamaa suruali pana vile ila wife Nyoko sanaa.
Sidhani km atakua anamfikisha watu wanene wengi huwezo wao mdogo kwenye Migegedo ukichanganyaa stress za Vita ndio kabisa hata Dushe litakua linasimama kwa kuvizia
Yule rafikie Mh Joseph Mbilinyi (sugu)?kuna sehemu jamaa kavaa sarawili kama ya ally keisy
Nikweli ex wake alimnyonga alikuwa mzuri sanaHivi ni kweli hizi story???
iseeHaha hizi lugha haziishi midomoni ogopa hadi ma babu wa siku hizi nao hawaiti wanawake


bring it onHahahaa itakuwa hajamjua mtu mmoja anaitwa Sheria Ngowi.ha ahaha ila jamaa manguo yake makubwa

Kwani anang'ata?Kumbe jamaa ana mtoto mkali eeeh

Sio kauli nzuri hiyo mkuu ulotumia
huyo simjui embu weka picha yakeHahahaa itakuwa hajamjua mtu mmoja anaitwa Sheria Ngowi.![]()
![]()
![]()
![]()
Dah! Nimecheka mpaka machozi yametoka "suruwali ya ally keisy!!!!??"kuna sehemu jamaa kavaa sarawili kama ya ally keisy
Fegi wapi,kule ndum ruksa.Kama jamaa anachoma fegi.....au macho yangu.................?
Mkware kaziniKumbe jamaa ana mtoto mkali eeeh

