mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 45,751
- 55,787
Team trump mnaweza majungu.sio vita.
Modo ni umagharibiNaona Korea hawavai modo



wewe !Jamaa anakojolea pazuri sana
hahaha hahaha mbavu zanguUkiskia dume suluali ndo hii sasa
kwahyo kumbe vanesa anavosema hapend dume suruali anaamaanisha hawapend hawaUkiskia dume suluali ndo hii sasa
kuna sehemu jamaa " kavaa sarawili ' kama ya ally keissy
Au Lisu, maana na Lisu nae anazo oversizekuna sehemu jamaa " kavaa sarawili ' kama ya ally keissy
Mbona humtaji john yeye hadi makoti na sarawili zake ni oversize muda huu ndo. Anafunzwa kuvaa kasoro akili yake ipo nusi na robo......Au Lisu, maana na Lisu nae anazo oversize
Hili nalo neno.....Siku zote adam hakosi eva wa kumshawishi
Haijalishi maji ni ya moto lazima yataurudia ubaridi
amsr