Waterloo
JF-Expert Member
- Nov 30, 2010
- 25,351
- 38,941
Mkuu taratibu unaniua huku uwiiiiHuyu mapanki akinipa namba ya fundi wake wa masuruali atakua ameugusa moyo wangu kwa namna ya pekee, nina buti moja linaitwa teremka tuzoze linaozea kwenye kabati kwa kukosa bwanga kama hilo la mapanki.

na ndo mana wale wenzangu wa tandale husema "hata pilipili ni kali lakini bei yake sh10