Waterloo
JF-Expert Member
- Nov 30, 2010
- 25,496
- 39,319
Mkuu taratibu unaniua huku uwiiii[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Huyu mapanki akinipa namba ya fundi wake wa masuruali atakua ameugusa moyo wangu kwa namna ya pekee, nina buti moja linaitwa teremka tuzoze linaozea kwenye kabati kwa kukosa bwanga kama hilo la mapanki.