Huu ndo usingizi wa Kim Jong Un

Huu ndo usingizi wa Kim Jong Un

Sidhani km atakua anamfikisha watu wanene wengi huwezo wao mdogo kwenye Migegedo ukichanganyaa stress za Vita ndio kabisa hata Dushe litakua linasimama kwa kuvizia

Akikufumania anakupelekea Kombora la kutungulia Ndege za Kivita kichwani ,Hana Mchezo ma Pank,

Waziri wake wa Ulinzi alisinzia tu kwny Hotuba ya Rais akapelekwa Kombora

Mjomba alizingua akapelekewa Kombora

Kaka alizingua akapakazwa Sumu kali usoni akafa!
 
Sidhani km atakua anamfikisha watu wanene wengi huwezo wao mdogo kwenye Migegedo ukichanganyaa stress za Vita ndio kabisa hata Dushe litakua linasimama kwa kuvizia
hata kama harizishi aweze sema chochote xhezea kiduku ww
 
kweli huyu jamaa noma naona baada ya kurithi urais sasa amemua arithi na suruali za faza wake.
haha baba yake alikuwa anavaa miaka ya 60 lakin yeye anavaa mpaka leo
kweli huyu jamaa noma naona baada ya kurithi urais sasa amemua arithi na suruali za faza wake.
haha baba yake alikuwa anavaa miaka ya 60 lakin yeye anavaa mpaka leo
d885e20863eff9c02f75a13f4da68816.jpg
 
jamaa suluari nene hadi kiatu kwa chini kinafichwa na msuluari
na kama suluari nene hivo je kanzu zake vepe c mdebwedo
 
duuh hio kitu chini unaweza ingiza miguu sita kwa mala moja alafu ikawa bado #bwanga#
 
Jameni inabidi tuchague, isije ukawa Rais wa Tz 2035 afu ndio una anza kuparamia vi model visu vya wengine!!
 
isee ila ktik grp lote hapo naon wote hakun modo nafikir n k hurusiwi modo man a maofisa wote hapo suluari vitambaa vyao ni mita 7
 
tamaa tu
samahani mkuu yule ni mke wake pls sio mtoto
acha lugha za kihuni
Haha hizi lugha haziishi midomoni ogopa hadi ma babu wa siku hizi nao hawaiti wanawake
 
Back
Top Bottom