akija na pesa akubaliAmesema pesa hana na kazini hapaeleweki ...it means one day akija na mitonyo yake ya maana atakataa ?????
Kweli mapenzi ni shilingi
sawa mkuuOmba usikutwe na bwana pepsi lakini
Ww na Miss natafuta huwa mnanikuna sana ninyi watoto kwa uandsh wenu,ningelikuwa na uwezo kama watu flan' ningeliwahonga nyumba za govern'karma imekufuuck good
Aisee ninawatu wengi sana wa kuwaombeaMsamahe na muweke kwenye Sala zako afanikiwe, maana naamini adhabu imeshamtosha.
nihonge hata ya urithi mkuuWw na Miss natafuta huwa mnanikuna sana ninyi watoto kwa uandsh wenu,ningelikuwa na uwezo kama watu flan' ningeliwahonga nyumba za govern'
Kumbe hua wanakumbuka hadi emails? Aise ..Kuna mmoja aliondoka kwa kebehi ameoa baada ya miaka miwili ndoa chali, number ya simu nilishabadilisha sasa anatuma emails nikisha zisoma ninadelete.
Karma is a bitch: Kwanza tuanze na neno karma, sababu kwenye tafsiri nitalitumia kama lilivyo. Karma ni mkusanyiko wa mambo yote uliyokwishafanya. Iwe kwa maneno, kwa vitendo, ama kwa kufikiri tu. Na mkusanyiko wa mambo hayo ndio hukuletea au hukusababishia uishi maisha unavyoishi sasa au leo. Yaani, yanapokupata mambo mabaya, ni kwasababu huko nyuma ulitenda mabaya, ulisema mabaya, ama ulifikiri vibaya. Na halikahalika yanapokukuta mazuri ni hivyohivyo, kwamba huko nyuma ulitenda mema, ulinena mema, ama ulifikiria mema. Nadhani hapo nitakuwa nimeeleweka kiasi chake.Naomba tafsiri ya kiswahili ya Karma is a bitch.
Naam umejitahidi kuelezea mujjarab kabisa.Karma is a bitch: Kwanza tuanze na neno karma, sababu kwenye tafsiri nitalitumia kama lilivyo. Karma ni mkusanyiko wa mambo yote uliyokwishafanya. Iwe kwa maneno, kwa vitendo, ama kwa kufikiri tu. Na mkusanyiko wa mambo hayo ndio hukuletea au hukusababishia uishi maisha unavyoishi sasa au leo. Yaani, yanapokupata mambo mabaya, ni kwasababu huko nyuma ulitenda mabaya, ulisema mabaya, ama ulifikiri vibaya. Na halikahalika yanapokukuta mazuri ni hivyohivyo, kwamba huko nyuma ulitenda mema, ulinena mema, ama ulifikiria mema. Nadhani hapo nitakuwa nimeeleweka kiasi chake.
'Karma is a bitch' maanayake: karma si kitu cha kufurahisha, ama karma si nzuri, au karma inaumiza.
Hivi Maserati ni nini, ni brand ya gari?karma is a real ass boss b!tch
Create rule kila akituma email ina bypass inbox inaenda kwa trash bin.Kuna mmoja aliondoka kwa kebehi ameoa baada ya miaka miwili ndoa chali, number ya simu nilishabadilisha sasa anatuma emails nikisha zisoma ninadelete.
Maserati ni brand ya gariHivi Maserati ni nini, ni brand ya gari?
The Choosen OneKweli only u know you love her when you let her go
Ahsante. Na Finyango?Maserati ni brand ya gari
In situations like these, are you happy for what he is going through or sympathy?Umenikumbusha miaka 2 iliyopita X wangu aliniacha kwa nyodo na kashfa kibao ....da!! yaan Sijui alikumbwa na nn yule kaka maana tulishatambulisha na. Kwa wazazi na Pete juu tena kanisani ..gafla alinichukia akawa hataki hata nimshike...nilikua nampenda sana
Nikamwambia nampenda anajibu unajua kupenda wewe??? Wapo wanaojua kupenda sio wewe.....kwanza hata kitandani hua unanibaka tu wewe....nililia sana nilitoka mwanza nalia mpaka arusha. Wasafir wenzangu walijua naenda msibani aiseee.....
Namshukuru Mungu sasa hv anabembeleza tuishi wote sitaki hata kuona sura take
Hajaoa ....
Kazini hapaelewek
Pesa hana
Yaan Mungu mkuu kwa kweli