Kwa nini chadema inawauma sana wafuasi wao kuhamia ACT?
Kwa jinsi chadema wanavyotokwa povu huitaji darubini kuitambua nguvu ya ACT.
Huo ni mwanzo mzuri...
Ukiona wanakusema sana jua wanakuogopa.
Kwa nini chadema inawauma sana wafuasi wao kuhamia ACT?
Lakini mkuu Molemo ktk shutuma zote zilizoelezwa na hao mnaowaita wasariti wa chama, tukisema ule ukweli na bila owoga yapi ya kweli na yapi si kweli?!.
Ina wezekana ulitaja jina la kiongozi ambae ukimgusa tu....
Uwongo na uzushi ndio silaha ya wajinga duniani kote. Fanyeni kazi ya kujenga chama chenu. Acheni kujitungia uwongo na kuzusha mambo. Hatuna muda huo wa kijinga. Nchi hii ni nchi huru yenye kufuata mfumo wa vyama vingi, hakuna namna unayoweza kulazimisha mtu kupenda au kuchukia chama chako au cha mtu mwingine.
Uwongo na uzushi ndio silaha ya wajinga duniani kote. Fanyeni kazi ya kujenga chama chenu. Acheni kujitungia uwongo na kuzusha mambo. Hatuna muda huo wa kijinga. Nchi hii ni nchi huru yenye kufuata mfumo wa vyama vingi, hakuna namna unayoweza kulazimisha mtu kupenda au kuchukia chama chako au cha mtu mwingine.
Dr don't you think it's high time kuachana na hizi Siasa uchwara na kujikita kwenye taaluma na utafiti?? You have other ways to use your education wisely than these political issues.
Dr don't you think it's high time kuachana na hizi Siasa uchwara na kujikita kwenye taaluma na utafiti?? You have other ways to use your education wisely than these political issues.
Uwongo na uzushi ndio silaha ya wajinga duniani kote. Fanyeni kazi ya kujenga chama chenu. Acheni kujitungia uwongo na kuzusha mambo. Hatuna muda huo wa kijinga. Nchi hii ni nchi huru yenye kufuata mfumo wa vyama vingi, hakuna namna unayoweza kulazimisha mtu kupenda au kuchukia chama chako au cha mtu mwingine.
Wanajinyea nyea hawa wasaliti,ole wao watakaonunuliwa waje walete upuuzi kwenye jimbo langu la segerea eti washushe bendera za Chadema.
Hiyo "Hatuna muda huo..." unamaanisha nyie vibaraka wa CCM au kina nani!?
Jamaa unajitia kitanzi kizembe kweli. Dr gani mganga njaa hivi!?
Mungekuwa mnamjua Mungu msingesema mtaboresha gongo!