Synthesizer
JF-Expert Member
- Feb 15, 2010
- 11,143
- 18,774
Kweli MuraHuu ni ushamba.
Hii ndio inatufanya watu wa mkoa wa Mara tunaonekana wote washamba.
Akikushangaza kwa kuvaa suti na mzura wa bendera ya taifa ndio utajua kwa nini mawaziri wanasema tujiajiri wakati wao wakifukuzwa kazi wanaliaMimi nilifikiri ni Photoshop
Na kweliAkikushangaza kwa kuvaa suti na mzura wa bendera ya taifa ndio utajua kwa nini mawaziri wanasema tujiajiri wakati wao wakifukuzwa kazi wanalia
Pole MuraHuu ni ushamba.
Hii ndio inatufanya watu wa mkoa wa Mara tunaonekana wote washamba.